Mwandishi Mwananchi apongeza viongozi kuwahi Hanang, fedha zielekezwe kwa waathirika Mwandishi Mkuu wa Gazeti la Mwananchi, Elias Msuya amefurahishwa na namna viongozi wa Serikali kwa umoja wao walivyojitoa kwenda Wilaya ya Hanang’ mkoani Manyara kulikotokea maafa ya...
Wakimbizi 12,000 waingia Tanzania ndani ya miezi sita “Dunia inakabiliwa na majanga mengi, kuna Uviko-19, vita vya Ukraine na Russia na sasa vita vya Israel na Palestina, magonjwa na njaa, yote hayo yanasababisha kuwepo kwa wkaimbizi. Tangu Mei...
PRIME Sababu wanawake kupungua sekta ya kilimo Wakati kilimo kikichukuliwa kuwa sekta inayoajiri watu wengi nchini, hali ni tofauti miaka ya hivi karibuni, kwani takwimu zinaonyesha wamepungua kutoka wastani wa asilimia 74.5 mwaka 2004/05...
Jussa: Niko tayari kubeba majukumu ACT-Wazalendo Chama cha ACT-Wazalendo kimo katika mchakato wa uchaguzi wa ndani kuanzia ngazi ya matawi, kata, majimbo, mikoa na baadaye ngazi ya Taifa utakaofanyika Machi, 2024.
PRIME Tamu, chungu miaka mitatu ya Dk Mwinyi Zanzibar Rais wa Zanzibar Dk Hussein Ali Mwinyi ametaja mambo aliyofanikiwa katika miaka mitatu ya utawala wake na yale yanayompa wakati mgumu hasa ufanisi mdogo wa Bandari ya Malindi.
Waipaisha Tanzania jumuiya ya kimataifa Tanzania ni nchi yenye heshima kubwa mbele ya jumuiya ya kimataifa na imekuwa ikitoa watu makini wa kusimamia mashirika au taasisi za kimataifa kwa mafanikio makubwa na kuwa chachu ya maendeleo.
Serikali yaifungulia milango China uwekezaji Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema uhusiano kati ya Tanzania na China ni kichocheo cha uwekezaji, akiwataka wawekezaji kutoka nchi hiyo kuja kwa wingi kuchukua fursa.
PRIME Kizungumkuti cha Toto Afya Kadi pasua kichwa Licha ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) kusisitiza maboresho ya mfumo wa utoaji bima ya afya kwa watoto shuleni, wadau wamezidi kuukosoa wakisema una kasoro na utawakosesha haki mamilioni,...
NIMR yatengeneza dawa nane za asili Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) kupitia kiwanda chake cha kutengeneza dawa za asili cha Mabibo jijini hapa, kimetengeneza dawa nane zitokanazo na miti kwa ajili ya kutibu...
Tanzania yavuna Sh1 trilioni, AGRF ikiendelea Wakati Jukwaa la Mifumo ya Chakula Afrika (AGRF) likiendelea, Tanzania imesaini mikataba ya kuendeleza kilimo ya zaidi ya Sh1 trilioni huku ikiendelea na mazungumzo na wadau wengine likiwamo...