Search

309 results for Florence Sanawa :

  1. Wananchi waonywa kuvua na kuuza nyama ya nyangumi

    Siku chache baada ya mkoa wa Mtwara kuzindua utalii wa mnyama nyangumi ambapo uzinduzi huo ulifanyika Agosti 5 mwaka huu, siku ya juzi wananchi wa Kijiji cha Mkungu, Kata ya Naumbu wamegawana...

  2. TPDC kushirikiana na kampuni kuwalipa fidia wananchi Mtwara

    Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) wakishirikiana na ARA Petroleum Tanzania wakamilisha malipo ya fidia kwa wananchi walioharibiwa mazao wakati wa utafutaji wa gesi asilia.

  3. Mwalimu adaiwa kumbaka mwanafunzi nyumbani kwake

    Jeshi la Polisi Mkoani Mtwara linamshikilia mtu mmoja (23) mkazi wa kijiji cha Mkalapa kata ya Chikundi ambaye ni mwalimu wa kujitolea katika Shule ya Msingi Mkalapa kwa tuhuma za kumbaka binti...

  4. Samia awaonya wanaotafuna fedha za miradi Tandahimba

    Rais Samia Suluhu Hassan amesema anasuburi taarifa ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa, (Takukuru) ili achukue hatua kwa watakaobainika kutumia vibaya fedha za miradi ya maendeleo.

  5. Samia ataka bandari itumike usafirishaji korosho

    Rais Samia Suluhu ameagiza korosho za msimu huu wa 2023/24 kusafirishwa kwa kutumia bandari ya Mtwara, akisema haoni sababu ya zao hilo kushindwa kusafirishwa kupitia bandari hiyo.

  6. ‘Acheni pombe kupunguza vichocheo vya mwilini’

    Zaidi ya wanawake 560 kutoka katika mikoa sita nchini wamekutana mkoani Mtwara na kufanya kongamano la siku sita ili kuweza kuboresha malezi katika familia.

  7. Jela miaka 60 kwa kumbaka, kumlawiti mtoto wa mkewe

    Mkazi wa Kijiji cha Likokona, wilayani Nanyumbu, Defao Kashimu Abdallah (25), amehukumiwa kifungo cha miaka 60 jela, baada ya kukutwa na hatia ya kubaka na kulawiti mtoto wa mkewe mwenye umri wa...

  8. Wataka uchunguzi tukio la ‘kujinyonga’ binti mwenye ulemavu

    Baada ya Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara kutilia shaka tukio la kujinyonga binti mwenye ulemavu Samia Ahmed Mohamed (20), Mkazi wa Kijiji cha Sinde, Kata ya Msangamkuu, ndugu wataka uchunguzi...

  9. Polisi yachunguza mlemavu anayedaiwa kujinyonga

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara linatilia shaka tukio la kujinyonga binti mlemavu wa mikono na miguu aitwae Samia Ahmed Mohamed (20) mkazi wa Kijiji cha Sinde Kata ya Msangamkuu, Halmashauri ya...

  10. Amwaga chozi mbele ya askofu kisa ugumu wa maisha

    Mkazi wa Mtaa wa Mtawanya Mtwara Mjini, Modesta Robert amemwaga machozi wakati akisimulia namna anayoishi katika mazingira magumu ya kuombaomba mtaani ambapo wakati mwingine hulazimika kulala...

Page 1 of 31

Next