Simbachawene asisitiza mfumo wa Tehama taasisi zisomane
Agizo hilo limetolewa leo Jumanne, Juni 17, 2025, na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene, wakati akizindua Wiki ya Utumishi wa Umma ambayo imeanza...