Wauza vitabu wadai wasomaji wameongezeka Mwandishi na wauza vitabu wanasema idadi ya wanaosoma vitabu imeongezeka, likiwemo kundi la vijana.
Kipindupindu chaibuka Kondoa Ugonjwa wa kipindupindu umezuka katika Wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma na hadi jana watu watano waliripotiwa kuugua ugonjwa huo na kulazwa hospitalini.
Hofu ya uchaguzi inavyotia ‘ndimu’ mijadala bungeni Mkutano wa 13 wa Bunge uliomalizika Ijumaa wiki iliyopita unaelezwa kurejesha historia ya mabunge ya 2012 na 2013 ambapo wabunge walitishia na hata kuwang’oa baadhi ya mawaziri kwa sababu...
Majaliwa akomalia migogoro ya ardhi Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amerudia agizo lake kuhusu kuzichukulia hatua kali kampuni zilizopewa miradi ya upimaji ardhi katika majiji lakini hazijakamilisha kazi.
NEC yaanza maboresho daftari la wapigakura Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Ramadhan Kailima amesema kwa namna yoyote maboresho hayo yatakuwa msaada mkubwa wa kutoa haki kwa wapiga kura na kutaka wadau na wananchi wajitokeze kwa...
PRIME VIDEO: Serikali yakubali yaishe, yaing’oa Kadco KIA Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa alitoa tamko hilo jana bungeni, wakati akisoma taarifa yake mbele ya wabunge baada ya mvutano uliochukua mwaka mmoja, huku wabunge wakitaka TAA ichukue...
Suala la waliopata ulemavu vita ya Kagera laibukia bungeni Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson ameomba Serikali kuwatazama wapiganaji ambao hawakupata ajira baada ya vita kwa kuwa ni wachache ione namna inavyoweza kuwasaidia kwa chochote nao wakafurahi.
Mbunge Aziza aapishwa akirejea bungeni baada ya miaka 13 Aziza ameapishwa kuziba nafasi ya aliyekuwa mbunge wa viti maalumu Bahati Ndingo ambaye kwa sasa ni Mbunge wa Jimbo la Mbarali mkoani Mbeya.
Waziri Mwigulu kubana matumizi magari ya viongozi Serikali imerudia kauli yake kuhusu kubana matumizi ya magari kwa watumishi na kusisitiza viongozi wenye sifa watakopeshwa magari.
Mbunge apeleka malalamiko bungeni kikokotoo kuwapunja wafanyakazi Sakata la kikokotoo kwa Wastaafu limetua tena bungeni leo Jumanne Novemba 8, 2023 lakini Serikali imesema hali ilivyo sasa kuna faida kubwa kwa wanuifaika.