Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1235 results for Habel Chidawali :

  1. Sekta nne zaguswa wabunge wakihitimisha mjadala wa bajeti

    Wabunge wamehitimisha mjadala kuhusu Mpango wa Taifa wa Maendeleo na mapendekezo ya bajeti ya Serikali kwa mwaka 2025/26, wakiibua hoja katika sekta nne, ambazo Serikali inatakiwa kuzipatia...

  2. PRIME Joto la majimbo juu bungeni, Zungu awatuliza akitoa mbinu

    Kadri Bunge la 12 linavyoelekea ukingoni, joto la Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 linazidi kupanda, hali inayosababisha baadhi ya wabunge kutumia jukwaa la mjadala wa bajeti kujinadi kwa mafanikio...

  3. Zungu awashukuru wabunge akiwapa siri ya kukutana tena Novemba

    Zikiwa zimesalia siku nane kabla ya Rais Samia Suluhu Hassan kulihutubia Bunge, Naibu Spika Mussa Zungu amewashukuru wabunge, huku akisisitiza masuala matano muhimu ambayo, kwa maoni yake...

  4. Profesa Makubi ataka watu wapime Selimundu kabla ya kuoana

    Mbali na kuhimiza upimaji wa afya kabla ya kuoana au kupata watoto, BMH pia imetoa wito kwa Watanzania kutambua umuhimu wa kuwa na Bima ya Afya, ili kupunguza mzigo wa gharama kubwa za matibabu...

  5. Wabunge walalama wanaojipitisha majimboni, tozo kwenye gesi asilia

    Wabunge wa Tanzania wameibana Serikali kuhusu kodi na tozo katika gesi asilia wakitaka isicheze na hilo kwani ndiyo injini ya uchumi.

  6. Mbunge ataka sheria ya lazima watoto kutunza wazazi wao

    Serikali ya Tanzania haina sheria ya kuwalazimisha watoto kuwatunza wazazi wao pindi watakapozeeka.

  7. Simbachawene asisitiza mfumo wa Tehama taasisi zisomane

    Agizo hilo limetolewa leo Jumanne, Juni 17, 2025, na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene, wakati akizindua Wiki ya Utumishi wa Umma ambayo imeanza...

  8. Jina la Rais Samia linavyotumiwa turufu ya wabunge kurudi mjengoni

    Zikiwa zimebakia siku 11 Rais Samia Suluhu Hassan kulifunga Bunge la Tanzania, wabunge wameanza kuaga na kutumia mjadala wa bajeti kuu kwa kutakiana mema katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025.

  9. PRIME Safari ya Ikomba urais CWT, anavyoitazama elimu nchini

    Suleiman Ikomba ni miongoni mwa watu wanaoziishi ndoto zao, ni mmoja wa watu wa kupigiwa mfano kutokana na kuishi katika ndoto hata kuyafikia mafanikio.

  10. PRIME Wabunge waichambua Bajeti ya Serikali, wang’aka elimu na utafiti

    Wabunge wanasema kama Serikali inaetaka kufanikiwa katika nyanja ya uchumi, haina budi kuweka mkakati wa uwekezaji wa elimu na utafiti

Page 1 of 124

Next