CRDB yajivunia mafanikio kupata leseni ya kufungua benki DR Congo Arusha. Benki ya CRDB imejivunia mafanikio mbalimbali ikiwemo kupata leseni ya kufungua benki katika nchi ya DR Congo jambo ambalo ni hatua kubwa sana ambayo imepigwa na benki hiyo. Aidha benki...
Dk Mpango: Toeni mikopo yenye riba nafuu Makamu wa Rais Dk Philip Mpango amezitaka taasisi za fedha nchini kutoa mikopo ya riba nafuu kwa makundi mbalimbali wakiwemo wachimbaji wadogo wa madini, wavuvi, wakulima na wafugaji hivyo kuinua...
CRDB yakabidhiwa cheti cha utoaji wa huduma ya bima Arusha. Kamishna wa bima nchini Dk Baghayo Saqware amekabidhi cheti cha utoaji wa huduma ya bima kwa benki ya CRDB ikiwa ni benki ya kwanza hapa nchini kupata cheti hicho kama kampuni tanzu...
Serikali kuendelea kujenga maghala ya kuhifadhi mazao nchini Arusha. Serikali imesema inaendelea kujenga maghala ya kuhifadhia mazao nchini ili kuzuia sumu kuvu hali inayochangia athari kwa wakulima na wazalishaji wa chakula. Hayo yamesemwa jijini Arusha...
Mpango usafirishaji wa dharura wazazi, watoto wachanga wazinduliwa Arusha Arusha. Serikali kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wamezindua mpango wa usafirishaji wa dharura za wazazi na watoto wachanga mkoa wa Arusha ujulikanao kama m-mama ambao utawezesha kurahisisha...
Halmashauri Jiji la Arusha yakabidhi hundi Sh2.6 bilioni kwa vikundi 169 Arusha. Halmashauri ya jiji la Arusha imekabidhi hundi ya Sh2.6 bilioni kwa vikundi 169 vya wanawake, vijana na walemavu vilivyokidhi vigezo vya kikanuni kupata mikopo hiyo. Akizungumza leo...
Waomba sheria ya watu wenye ulemavu mwaka 2004 ifanyiwe marekebisho Arusha. Wadau kutoka sekta ya umma na binafsi wameshauriwa kuboresha huduma za afya kwa watu wenye ulemavu ikiwemo kujenga miundombinu ya kutosha katika vituo mbalimbali vya afya pamoja na...
Serikali kuboresha maeneo ya makumbusho Arusha. Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mary Masanja amesema kiasi cha Sh2.2 bilioni za Uviko-19 zilizotolewa kwa ajili ya kuboresha Makumbusho ya Malikale zimeendelea kuboresha kwa kiasi...
Brela yawataka wafanyabiashara kufuata sheria Arusha. Wamiliki wa kampuni mbalimbali nchini wametakiwa kufuata sheria na taratibu kwa kufanya biashara zao kwa njia halali badala ya kupitisha vitu vya kiuhalifu kwani sheria...
Wadau wanolewa kupambana ufisadi Arusha. Wadau mbalimbali kutoka taasisi za serikali na binafsi kutoka Tanzania bara na visiwani wamejengewa uwezo wa kitaalamu jinsi ya kuzuia, kuripoti na kudhibiti ufisadi pamoja na...