Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

190 results for Johnson James :

  1. Home Alone inavyoondoka na kijiji kila mwaka

    Moja ya filamu ambayo katika msimu wa sikukuu za mwisho wa mwaka huchuka nafasi kubwa katika maisha ya watu ni ‘Home Alone’

  2. Dk Nchimbi aitaka CCM Mkuranga kumwondoa mgombea uenyekiti aliyepigiwa kura ya ‘Hapana’

    Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi ameagiza kuondolewa kwa jina la kada wa chama hicho aliyepigiwa kura nyingi za ‘Hapana’ kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, lakini...

  3. Watoto wawili wadaiwa kujinyonga Tabora, sababu zatajwa

    Watoto wawili mkoani Tabora wanadaiwa kufa kwa kujinyonga katika matukio tofauti, akiwemo mwanafunzi wa darasa pili shule ya msingi Igunga anayedaiwa kukutwa amejinyonga juu ya mti wa mwembe...

  4. VIDEO: Mbuzi aliyechunwa, kuvishwa sanda azua taharuki Tabora

    Katika hali isiyo ya kawaida, wakazi wa Mtaa wa Bombamzinga, Kata ya Isevya, Manispaa ya Tabora, wamejikuta katika taharuki baada ya kugundua mbuzi aliyekuwa amechunwa ngozi, kuvishwa sanda na...

  5. Umeme wa nguzo wadaiwa kuua mtoto wa mwaka mmoja na nusu

    Mtoto wa mwaka mmoja na miezi minane aliyefahamika kwa jina la Martine Ndaro amefariki dunia baada ya kupigwa shoti na waya wa kushikikilia nguzo ya umeme jirani na nyumba yao.

  6. Mama mkwe adaiwa kuuawa akisuluhisha ndoa ya bintiye

    Tukio hilo lilitokea Desemba 5, 2024, wakati Aisha Ramadhan ‘Batuli’ mkewe na Juma alipokuwa akijiandaa kusafiri kuelekea mkoani Kigoma akidaiwa kukimbia ugomvi wake na mumewe huyo.

  7. Wanaofanya shughuli hifadhini watakiwa kuondolewa kabla ya oparesheni kuanza

    Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Mohamed Mtulyakwaku, ameagiza wananchi wanaofanya shughuli za kilimo na ufugaji ndani ya maeneo ya hifadhi kuondoka mara moja, kabla ya oparesheni ya kuwaondoa kwa...

  8. Wito wa amani, uwajibikaji na usafi vyatawala maadhimisho ya uhuru mikoani

    Sherehe za maadhimisho ya uhuru zimefanyika kwa njia tofauti katika mikoa mbalimbali nchini ambapo wananchi na viongozi wameshiriki kufanya usafi huku wito wa amani ukitolewa kwa Watanzania wote.

  9. Mke wa mtu aliyefariki chumbani na mwanajeshi mstaafu azikwa bila ibada

    Mwananchi imeshuhudia watu wakiwa msibani mtaa wa Mhalitani wakiwa wamekusanyika wakatangaziwa kuwa hakutakuwa na ibaada wala wasifu wake, badala yake ataombewa sala tatu pekee kisha ataenda...

  10. Wananchi: Mipaka ya msitu Kigosi Myowosi ipimwe upya kudhibiti mauaji

    Wakazi wa Kijiji cha Mpanda Mlowoka wilayani Kaliua mkoani Tabora wameiomba Wizara ya Maliasili na Utalii kupima upya mipaka ya hifadhi ya misitu ya taifa ya Kigosi Muyowosi na kijiji chao kwa...

Page 1 of 19

Next