Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

982 results for Juma Issihaka :

  1. PRIME CCM katikati ya uamuzi mgumu

    Ugumu unatokana na kwamba, ndio uamuzi ambao aghalabu unaweza kuleta mpasuko au wagombea wasiokubalika na hatimaye chama hicho ama kupata ushindi mwembamba au kuanguka katika baadhi ya majimbo.

  2. PRIME Hoja saba zilizoibuliwa ziara ya siku 30 za ACT Wazalendo

    Siku 30 za ziara ya Chama cha ACT Wazalendo, zimetamatika huku hoja za umaskini, hadhi ya Bunge, ahadi kwa Jeshi la Polisi, zikibeba uzito.

  3. Polisi yamshikilia kigogo wa Chadema, wenyewe wasema...

    Jeshi la Polisi Tanzania linamshikilia Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Brenda Rupia kwa mahojiano.

  4. Nondo atia neno msimamo wa Chadema kuishitaki Serikali UN

    Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa ACT Wazalendo, Abdul Nondo amesema hakuna namna Ulaya na Jumuiya ya Kimataifa itafikiri kutoitambua Serikali yoyote, iwapo itaona maslahi yao yanatimizwa.

    New Content Item (1)
  5. PRIME Wajumbe CCM wanoa vichinjio

    Vita ya usajili Simba, Yanga Mukhtsari Kwa upande wa Simba, Fadlu anaamini kikosi chake kinahitaji kuboreshwa kwa maeneo manne muhimu ambayo ni kiungo wa kuzuia, kiungo wa kushambulia...

  6. PRIME ACT Wazalendo inavyotumia changamoto za watawala kama fursa ya kuvuna wafuasi

    Migogoro ya ardhi kati ya wananchi na maeneo ya hifadhi, ukiukwaji haki za raia, utekelezaji wa miradi, ajira na umasikini, ndizo changamoto zinazotumiwa na Chama cha ACT Wazalendo kama fursa ya...

  7. PRIME Hofu yatanda kwa watia nia CCM

    Kuchukua na kurudisha fomu ni jambo moja, lakini kupenya katika mchujo na kuwa kati ya watatu watakaopigiwa kura za maoni na wajumbe, ni jambo lingine.

  8. PRIME Sababu Profesa Manya, Waziri Tax kutochukua fomu za ubunge CCM

    Kurudi Chuo Kikuu kushika chaki na kubaki kuwa mwanachama mtiifu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), ndiyo mipango waliyonayo wabunge wawili wa kuteuliwa, Profesa Shukurani Manya na Dk Stergomena Tax...

  9. PRIME Siku 30 za ACT Wazalendo kujenga msingi wa ushindi

    Katika siku saba tangu kuanza kwa Julai 2025, Chama cha ACT Wazalendo kimekuwa kwenye harakati za kisiasa katika maeneo mbalimbali nchini, kupitia kampeni iliyopewa jina la Operesheni ‘Majimaji...

  10. Kauli Bunge sio chombo cha machawa yazua majibizano

    Mnyukano wa hoja umeibuka, baada ya kauli ya Kiongozi mstaafu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe aliyetaka bunge lisidogoshwe kwa kuonekana ni chombo ambacho hata machawa na wachekeshaji wanapaswa...

Page 1 of 99

Next