ALAT yataka magari ya Serikali kuu yagawiwe halmashauri, DED akosoa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT), imependekeza kufanyika mabadiliko ya mwongozo unaoruhusu kuuzwa magari yaliyotumika na Serikali Kuu kwa umbali wa zaidi ya kilomita 200,000, ikitaka...
PRIME Vyama vinavyohamasisha kujiandikisha, Chadema ikiweka ngumu Vyama mbalimbali vya siasa vimesema vinatumia kila mbinu inayowezekana kuhamasisha wanachama wao wajiandikishe katika daftari la kudumu la mpiga kura, huku Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
PRIME Sura mbili za utawala wa miaka minne wa Rais Samia Ilianza siku moja, ukakatika mwezi, mwaka, hatimaye leo ni miaka minne, tangu Samia Suluhu Hassan aapishwe kuwa Rais wa Tanzania.
Nukuu 10 za Samia zilizobamba ndani ya miaka minne Katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wake, Rais Samia Suluhu Hassan ametoa hotuba kadhaa zilizoacha alama kwenye siasa, uchumi, na maendeleo ya Tanzania.
PRIME Mitazamo tofauti sera mpya ya ardhi Miongoni mwa vipengele hivyo ni kuimarishwa kwa mfuko wa fidia ili kurahisisha ulipaji kwa haki, wakati na thamani halisi, pamoja na kutoa ruhusa kwa wawekezaji kutoka nje kujenga nyumba na...
Rais Samia awaweka kikaaangoni watendaji wa ardhi Rais Samia Suluhu Hassan amewataka watendaji wa ardhi nchini kubadilika kwa sababu wananchi wanawalalamikia kwa rushwa, kujilimbikizia viwanja na kugawa kiwanja kimoja kwa watu wawili.
Othman akerwa na Wasira, Mbeto kupotosha kuzuiwa kwao Angola Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Masoud Othman, ameeleza kushangazwa na upotoshaji uliofanywa na baadhi ya viongozi wa Chama cha Mapinduzi (CCM)...
Waajiriwa kada za afya waitwa kazini Baada ya kukamilika mchakato wa kupangiwa vituo vya kazi, waombaji wote wa kazi za mkataba katika Mpango wa Uwekezaji katika Afya ya Mama na Mtoto nchini Tanzania (TMCHIP), wametakiwa kuripoti...
PRIME Kimbembe cha mikopo kausha damu mitaani Ndani ya kipindi cha takribani miezi mitatu kumeibuka wimbi la malalamiko kuhusu mikopo umiza maarufu kausha damu, huku baadhi ya viongozi wa serikali za mitaa wakisema mengi yanaibuka baada ya...
Kitakachofuata baada ya SADC kuondoa vikosi DRC Uamuzi wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) kuondoa vikosi vyake vya kulinda amani Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC), unatajwa kuwa mbinu ya kushinikiza njia mbadala...