Search

434 results for Kelvin Matandiko :

  1. PRIME TMA yataja hatua kudhibiti tishio mabadiliko tabianchi

    Shughuli za kibinadamu zimeendelea kuiharibu asili ya dunia, huku ripoti zikionyesha dalili za ongezeko la magonjwa mbalimbali mapya, mafuriko, ukame, kupotea kwa viumbe hai kwa miaka ijayo...

  2. PRIME ‘Kituo cha biashara Ubungo hakitaua Soko la Kariakoo’

    Serikali imesema Kituo cha Biashara na Usafirishaji Afrika Mashariki (EACLC) kinachojengwa eneo la Ubungo jijini hapa hakitadhoofisha uwepo Soko Kuu la Kimataifa la Kariakoo, badala yake kitakuwa...

  3. PRIME Manne kuongeza tija uvuvi, mifugo

    Kampuni ya Yara Tanzania imezindua bidhaa za lishe ya mifugo zitakazochochea ongezeko la kipato kwa wafugaji na wavuvi nchini.

  4. Biteko azuia uongozi Tanesco kushiriki kongamano la nishati

    Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko ameagiza viongozi waandamizi wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), kufuatilia changamoto za upatikanaji wa umeme badala ya kuhudhuria...

  5. Majaliwa afungua Kongamano la Kimataifa la Nishati

    Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amekaribisha kampuni za kimataifa kuja kuwekeza nchini katika sekta ya nishati.

  6. Yara Tanzania yajipanga kuongeza tija sekta ya mfugo, uvuvi

    Kampuni ya Yara Tanzania imezindua bidhaa za lishe ya mifugo na uvuvi zitakazosaidia kuchochea mageuzi ya sekta hiyo hususani katika kukuza mapato wafugaji na wavuvi.

  7. Usiyoyajua kuhusu kituo cha biashara Ubungo

    Unafahamu nini kuhusu Mradi wa Kituo cha Pamoja cha Kibiashara, unaojengwa eneo la Ubungo jijini Dar es Salaam?

  8. Tanzania, Msumbiji kuimarisha ulinzi, usalama

    Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Dk Stergomena Tax amesema Tanzania itaendelea kuimarisha ushirikiano kati yake na Msumbiji kwa ajili ya kudumisha amani na usalama kwa raia wake.

  9. Soko la kidigitali latoa mbinu mpya kwa wakulima

    Soko la Bidhaa Tanzania (TMX) linalosimamia mnada wa kijiditali limeshauri wakulima nchini kutumia vikundi mbalimbali ili kuwezesha kuingia katika mnada huo ili kuwaongezea uhakika wa masoko...

  10. Samia ashauri kuzibana nchi za Ulaya

    Rais Samia Suluhu Hassan jana alitumia dakika saba kushawishi viongozi wa Afrika kukubaliana kuzibana nchi za Ulaya ambazo huzalisha gesijoto duniani, kuchangia ufadhili katika mfuko maalumu ili...

Page 1 of 44

Next