Waandishi 17 wa Mwananchi kuwania tuzo za Ejat Waandishi 17 wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) ni miongoni mwa wateule 72 watakaowania tuzo za umahiri za uandishi wa Habari (Ejat) zinazotolewa na Baraza la Habari Tanzania...
Dk Tulia aanza kusaka mwarobaini mgogoro wa Israel, Palestina Siku chache baada ya kuchaguliwa, Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Dk Tulia Ackson ameagiza Kamati ya Masuala ya Mashariki ya Kati ya umoja huo kuanza kutafuta suluhu ya mgogoro kati ya...
Sukari yauzwa kama bangi mtaani Sukari sasa imeanza kuuzwa kwa mfumo kama wa biashara haramu katika maeneo mbalimbali nchini, ikiwa ni siku ya saba tangu Serikali ilipotangaza bei elekezi ya bidhaa hiyo.
Bashe aibua mapya sakata la sukari Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amesema Serikali itaendelea kuwalinda kwa umuhimu wao wafanyabiashara wa sukari nchini, lakini hatakubali wafanyabiashara saba watumie mwanya huo kwa kuwaumiza...
Tanzania kusaka fursa za madini Afrika kusini Serikali ya Tanzania inatarajia kuongeza idadi ya kampuni mpya za utafiti na uchimbaji madini pamoja na ubia kwenye kampuni za huduma na usambazaji wa bidhaa katika sekta hiyo kupitia ushawishi...
Nchimbi aonya makada CCM wanaotukana watumishi serikalini Bila kutaja majina, Dk Nchimbi amesema kumekuwa na utamaduni wa viongozi wa chama hicho kutoa maelekezo kwa viongozi wa Serikali.
Unahitaji ufadhili wa masomo nje ya nchi? Changamkia fursa Nchi tatu zimetangaza ufadhili wa shahada ya kwanza, uzamili na uzamivu katika muhula wa mwaka 2024/25.
Maudhui ya ukatili kwa watoto sasa marufuku Youtube Habari njema ni kwamba, jukwaa la maudhui mtandaoni la YouTube halitaruhusu tena maudhui yanayoigiza kwa uhalisia watoto waliofariki au walioathiriwa na matukio ya ukatili wa kijinsia.
Tesla kuja na gari la umeme lenye kasi zaidi Kwa mujibu wa taarifa ya mtandao wa kimataifa wa ElectricalSuv, maandalizi ya ujio wa gari hilo yalianza mwaka 2017, huku mmiliki wa kampuni hiyo, Elon Musk, akisema anakusudia kufanya mageuzi ya...
Wadukuzi waendelea kutikisa vigogo duniani Baadhi ya watu mashuhuri na taasisi zikiwamo za umma ni miongoni mwa waathirika wa kundi la wadukuzi wa mifumo, uwezo mkubwa unaotumika ili kujipatia mafanikio kwa njia haramu.