Search

4206 results for Mwandishi Wetu :

  1. Tanzania yatoa msaada Sh2.3 bilioni tetemeko la ardhi Uturuki

    Tetemeko hilo la ardhi la kipimo cha 7.8 liliikumba jimbo la Kusini mwa Uturuki la Hatay na eneo la Aleppo Kaskazini mwa Syria huku watu 125,626 wakijeruhiwa na zaidi ya watu milioni 24 nyumba...

  2. PASS trust, yahimiza uzalishaji unaofuata misingi ya ukuaji wa kijani shirikishi.

    Katavi. Taasisi ya PASS Trust imezungumza na wadau mbalimbali waliopo katika mnyororo wa kilimo mkoani humo, na kuwapatia fursa wakulima kwa kuwahakikishia watapata mikopo kutoka taasisi za...

  3. Barrick yatoa ambulance kituo cha afya cha Bugarama

    Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Dhahabu ya Barrick, imetoa msaada wa gari la kubebea wagonjwa (ambulance) aina ya Land Cruiser hardtop, katika Kituo cha afya Bugarama kilichopo kata ya Bugarama...

  4. Rushwa ya ngono, umasikini vyakwaza wanawake katika muziki

    Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) kwa kushirikiana na kampuni ya huduma ya muziki ya Mdundo wametoa mafunzo kwa wasanii wa muziki wanawake ya kukabiliana na changamoto za rushwa ya ngono na...

  5. Wafanyabiashara Kiteto wabadili changamoto kunyauka mazao kuwa fursa

    Changamoto ya mazao kunyauka kutokana na uchache wa mvua mwaka huu wilayani Kiteto mkoani Manyara kutokana na mabadiliko ya tabianchi, wafanyabiashara wamegeukia kununua mazao mbalimbali kwa...

  6. TBL: Kuleni chakula kabla ya kunywa

    Ili kufikia lengo la kupunguza matumizi ya pombe hatarishi kwa asilimia 10 ifikapo mwaka 2025, Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) imezindua kampeni ya Mdogomdogo inayohamasisha unywaji pombe usiozidi...

  7. Azimio wamtumia taarifa IGP Kenya kuomba ulinzi maandano ya Machi 27

    Muungano wa Azimo la Umoja nchini, Kenya umemwandikia barua Mkuu wa Jeshi la Polisi la nchi hiyo (IGP), Japhet Koome kumtaarifu kuhusu kufanya maandamano na maombi ya Kitaifa.

  8. Serikali kuboresha huduma kwa watalii ili wakae siku nyingi nchini

    DODOMA. Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii imejipanga kuboresha huduma kwa watalii katika nyanja mbalimbali ili kuvutia watalii wengi zaidi ikiwa ni mkakati wa kuwafanya watalii hao...

  9. Ripoti ya pili ajali ya ndege Precision yatoka

    Ripoti ya pili ya ajali ya Ndege ya Precision Air imetoka na kubainisha mambo nane yaliyochangia ndege hiyo kuanguka katika Ziwa Victoria, Bukoba, Mkoa wa Kagera.

  10. Shirika lahamasisha usafi wasichana wakati wa hedhi

    Katika kuadhimisha siku ya maji duniani yenye kauli mbiu ya ‘Harakisha upatikanaji wa maji kupambana na mabadiliko ya tabia nchi,’ shirika la WaterAid limesisitiza upatikanaji wa maji na usafi...

Page 1 of 421

Next