Waumini kanisani kwa Askofu Gwajima wasali barabarani, ulinzi waendelea kuimarishwa
Juni 2, 2025, Msajili wa Jumuiya za Kiraia, Emmanuel Kihampa alitangaza kulifuta kanisa hilo kutokana na kukiuka Sheria ya Jumuiya Sura ya 337, kwa kile alichoeleza limekuwa linatoa mahubiri...