Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8691 results for Mwandishi Wetu :

  1. Mwanamke fanya biashara  huku ukitunza ndoa

    Kwanza kabla ya kuanza ujipe ujasiri na kutokana tamaa, kwani kila kitu kina changamoto ikiwamo biashara.

  2. Helikopta ya mahujaji yaanguka, yaua saba India

    Katika tukio la kusikitisha lililotokea India, helikopta iliyokuwa ikiwabeba mahujaji wa dini ya Kihindu imeanguka dakika chache baada ya kupaa, na kuua watu wote saba waliokuwa ndani.

  3. Waumini kanisani kwa Askofu Gwajima wasali barabarani, ulinzi waendelea kuimarishwa

    Juni 2, 2025, Msajili wa Jumuiya za Kiraia, Emmanuel Kihampa alitangaza kulifuta kanisa hilo kutokana na kukiuka Sheria ya Jumuiya Sura ya 337, kwa kile alichoeleza limekuwa linatoa mahubiri...

  4. PRIME SIKU YA BABA DUNIANI: Kinababa wa 'Millennial' ndio kinababa bora kuwahi kutokea

    Unakuta baba analipa ada kuanzia shule ya msingi mpaka chuo na hajawahi kuhudhuria kikao cha shule wala mahafali na usikute hata jina la shule anayosoma mtoto wake haijui.

  5. Watanzania waombwa kuchangia damu kwa hiari

    Hayo yamesemwa mwishoni mwa wiki na Mkuu wa Kitengo cha Maabara katika Hospitali ya Aga Khan, Dk Caroline Ngimba katika tukio la uchangiaji damu lililoandaliwa na hospitali hiyo kwa kushirikiana...

  6. Mgogoro kati ya Iran na Israel wazidi kuwa mbaya

    Mapigano makali ya makombora kati ya Iran na Israel yameua watu wasiopungua 10 nchini Israel na zaidi ya 78 nchini Iran, huku mamia wakijeruhiwa katika mashambulizi ya usiku wa manane yaliyozidi...

  7. Watu unaopaswa kuambatana nao ili ufanikiwe kiroho, kimwili

    Kuna ofisi ukienda na bahasha ya Cv zako zitawekwa pembeni na inawezekana ukawa umetoka nazo kwenye maombi zimelowa mafuta ya upako zitawekwa kando kwa sababu zimelowa mafuta ya upako! Ila kuna...

  8. PRIME Kilio utekaji, watu kupotezwa chatua UN, Serikali kutoa tamko

    Wakati wataalamu wa Umoja wa Mataifa (UN) wakiwasilisha kwa umoja huo masuala kuhusu matukio ya utekani na watu kutoweka nchini Tanzania, Serikali imesema msimamo wa kidiplomasia itautoa kwenye...

  9. Vikwazo vitatu mapambano dhidi ya taka Ubungo, Msando atoa maagizo

    Taka bado ni mwiba inaoitesa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo mkoani Dar es Salaam, huku mambo matatu yakitajwa kuwa vikwazo vya kuzitokomeza.

  10. Netanyahu azindua operesheni ya ‘Simba anayeamka’ dhidi ya Iran

    Ni vita vya wazi. Ndivyo hali inavyoonekana baada ya Iran, usiku wa jana, kurusha makombora ya masafa marefu kuelekea Tel Aviv, Israel na kusababisha vifo vya watu watatu huku wengine saba...

Page 1 of 870

Next