8,000 wajitosa ajira 42 za Bunge Tume ya Utumishi ya Bunge imetangaza ajira za kada mbalimbali ambapo walioitwa kwenye usaili wako zaidi ya 8,000 kati ya nafasi za kazi 42 zilizotangazwa, huku kada zinazoongoza kwa idadi kubwa...
Sintofahamu uwanja wa ndege Dodoma kutokuwa na taa Sintofahamu imeibuka kuhusu uwanja wa ndege wa Dodoma kutokuwa na taa za kuwezesha ndege kuruka na kutua usiku.
Serikali yasitisha kulifunga Ziwa Tanganyika Serikali imewaondoa hofu wananchi wa mikoa ya Kigoma, Rukwa na Katavi kwa kusitisha kwa muda utekelezaji wa kuzuia shughuli za uvuvi kwa miezi mitatu ndani ya Ziwa Tanganyika.
Ruto na Odinga walegeza misimamo “Je, meza imepinduliwa.” Hivyo ndivyo unaweza kujiuliza baada ya Rais, William Ruto kusema yuko tayari kushirikisha pande mbili bungeni kwa ajili ya kuundwa upya kwa Tume huru ya Uchaguzi na...
Kongole Profesa Mkenda, Necta Baada ya Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) kuanza utaratibu mpya wa kutotangaza shule 10 bora na wanafunzi 10 bora kwa matokeo ya mitihani ya kitaifa, zimeibuka hoja nyingi kupinga utaratibu...
Vilio vyatawala Lissu akionyesha makovu ya risasi Makamu mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu ameiliza familia yake baada ya kuwaonyesha makovu ya risasi alizoshambuliwa.
Muswada wa huduma za habari hautawasilishwa Bunge hili Akizunguma leo Jumanne Februari 7, 2023 Msemaji Kuu wa Serikali, Garson Msigwa amesema muswada huo wa huduma za habari hakupata nafasi katika Bunge hili.
Chadema yaja na mkakati mpya kudai Katiba Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema kuanzia mwezi ujao kitaanza kutoa elimu ya uraia nchi nzima.
Nguo alizovaa Lissu alipopigwa risasi kukabidhiwa wazee Akizungumza na Mwananchi, Katibu wa Chadema Wilaya ya Ikungi mkoani Singida, Ibrahim Saidi alisema mkutano wa leo utakuwa na ajenda kadhaa, lakini kubwa ni mapokezi ya Lissu kurudi nyumbani.
Hisia tofauti uteuzi wa ma-DC Kuachwa katika uteuzi na kuhamishwa kwa baadhi ya wakuu wa wilaya kulikofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan juzi, kumepokewa kwa hisia tofauti huku baadhi ya wananchi, wadau na wachambuzi wakitaja...