Search

123 results for Noor Shija :

  1. PRIME Hati ya mashtaka 'dhidi ya Muungano’ ilivyomng’oa Rais Jumbe

    Jana katika makala kuhusu Rais wa Awamu ya Pili wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Aboud Jumbe Mwinyi, tuliishia kwenye jitihada zake za kuimarisha Muungano kwa kuunganisha vyama...

  2. PRIME Mfahamu Rais Aboud Jumbe wa Zanzibar-2

    Katika toleo lililopita tuliona jinsi muungano wa vyama vya TANU na ASP ulivyoanza na nafasi ya Jumbe katika kuhakikisha hilo lengo ni kuvifanya kuwa na nguvu na kusimamia maslahi ya wananchi.

  3. PRIME Mfahamu Rais Aboud Jumbe wa Zanzibar-1

    Aboud Jumbe Mwinyi ni Rais wa pili wa Serikali ya Zanzibar baada ya Mapinduzi ya Januari 12, 1964 yaliyouondoa madarakani utawala wa Sultani na Serikali yake.

  4. PRIME Mageuzi ya historia katika sheria

    Serikali imewasilisha bungeni muswada unaokwenda kutunga sheria mpya itakayoanzisha Tume ya Taifa ya Uchaguzi itakayojitegemea kwa kuwa na muundo wa utumishi, kama lilivyo Bunge na Mahakama.

  5. PRIME Chadema yataka hatua madai vigogo kuhongwa na Acacia

    “Mtandao huo haramu unafanikisha wizi mkubwa wa dhahabu mgodini Nyamongo, huku wananchi wa eneo hilo wakisingiziwa kuwa ndio wezi na kuuawa au kujeruhiwa na walinzi wa mgodi,”

  6. Mikataba ya Plea Bargaining moto, Bunge lacharuka

    Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), imeitaka Serikali kuchunguza na kuwachukulia hatua wahusika wa dosari za Uendeshaji na Usimamizi wa Mikataba ya Maridhiano ya Kukiri Makosa...

  7. PRIME Vituko vya mbwa wa marais, mmoja afukuzwa Ikulu

    Wakati mbwa wa Rais Joe Biden wa Marekani akiondolewa Ikulu kwa kujeruhi walinzi 11 wa kiongozi huyo, nchini Ufaransa mbwa wa Rais Emanuel Macron wamesababisha hasara kwa kutafuna samani...

  8. Dundula tishio kwa wageni Afrika Kusini

    Je, nini kitatokea nchini Afrika Kusini baada ya kundi lilinaloeneza chuki dhidi ya raia wa kigeni kusajiliwa kuwa chama cha siasa na kupanga kushiriki uchaguzi mkuu ujao. Ni kundi la Operesheni...

  9. PRIME Wasimamizi wa mirathi kuwekewa kibano

    Serikali imewasilisha bungeni mapendekezo ya kuwabana wasimamizi wa mirathi kwa kuwataka kuwasilisha mahakamani hesabu na orodha ya mali za marehemu, pale wanapoondolewa kwenye jukumu la usimamizi.

  10. PRIME Tamu na chungu Dk Slaa akifutiwa hadhi ya ubalozi

    Ule utamu wa hadhi ya kibalozi aliyokuwa nayo Dk Wilbroad Slaa, umeyeyuka.

Page 1 of 13

Next