Hati ya mashtaka 'dhidi ya Muungano’ ilivyomng’oa Rais Jumbe
Jana katika makala kuhusu Rais wa Awamu ya Pili wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Aboud Jumbe Mwinyi, tuliishia kwenye jitihada zake za kuimarisha Muungano kwa kuunganisha vyama...