Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

620 results for Rehema Matowo :

  1. Miradi 901 yasajiliwa nchini mwaka 2024

    Dk Mahenge amesema kuongezeka kwa miradi hiyo kumetokana na kuboreshwa kwa mazingira ya uwekezaji kunakofanywa na Serikali kwa kushirikiana na TIC.

  2. Jela miaka 15 kwa kumuua mkewe bila kukusudia

    Amedai baada ya mkewe kukataa mshtakiwa alitoa panga alilokuwa ameficha kwenye nguo na kuanza kumshambulia nalo sehemu mbalimbali za mwili ikiwemo kichwani, shingoni na kwenye mikono hali...

  3. CCM yakerwa ujenzi wa barabara kusuasua Geita

    Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Geita, kimekerwa na kasi ndogo ya ujenzi wa barabara za mradi wa Tactic zenye urefu wa kilomita 17 zinazojengwa kwa kiwango cha lami katika Manispaa ya Geita...

  4. BoT yanunua dhahabu ya Sh400 bilioni kwa miezi mitatu

    Motisha inayotolewa na Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kwa wafanyabiashara wa dhahabu, ikiwa ni pamoja na ununuzi wa dhahabu kwa bei ya soko la dunia, kuondolewa kwa tozo ya ukaguzi na punguzo la...

  5. Sababu watoto wachanga kupata manjano

    Katika nchi zinazoendelea inakadiriwa asilimia 51 ya watoto wanaozaliwa wanapata manjano na vifo vinakadiriwa kuwa 100,000 kwa nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara, huku watoto zaidi ya 63,000...

  6. PRIME Simulizi ya mchungaji anayeishi na VVU kwa zaidi ya miaka 39

    “Mume wangu alipoteza maisha 1998, mtoto wangu wa tatu akafa mwaka 1999 hali yangu ilikua mbaya sana mwili ulidhoofika, nikawa na upele kila mahali, nywele zote kichwani zilinyonyoka, kikawa...

  7. Diwani wa CCM Geita afariki dunia

    Ni miezi minne imepita tangu diwani mwingine wa baraza hilo, Peter Kulwa aliyekuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa kisukari apoteze maisha.

  8. Mtoto anusurika kifo baada ya kuchomwa na petroli

    Mwanafunzi wa darasa la tatu katika Shule ya Msingi Kasota, Kata ya Bugulula Wilaya ya Geita (9) amejeruhiwa kwa kuchomwa moto kwa kutumia petroli na mama yake mzazi (jina linahifadhiwa).

  9. Tasac yaonya usalama wa vyombo vya majini, yatoa elimu

    Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (Tasac) Mkoa wa Geita, limewatahadharisha wadau wote wa vyombo vya usafiri na wavuvi wanaotumia Ziwa Victoria, kufuatilia taarifa za hali ya hewa kabla ya...

  10. Wavuvi Ziwa Victoria watakiwa kufuatilia taarifa za hali ya hewa

    Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (Tasac), Mkoa wa Geita limewatahadharisha wadau wote wa vyombo vya usafiri na wavuvi wanaotumia Ziwa Victoria kufuatilia taarifa za hali ya hewa kabla ya...

Page 1 of 62

Next