Search

398 results for Rehema Matowo :

  1. Bilioni 18 kupeleka umeme kwa wachimbaji wadogo Kanda ya Ziwa

    Serikali kupitia Shirika la Umeme nchini (Tanesco) imetoa zaidi ya Sh18 bilioni kupeleka nishati ya umeme maeneo ya wachimbaji wadogo katika Mikoa ya Kanda ya Ziwa lengo likiwa ni kuwapunguzia...

  2. Washiriki 400 kutoka nchi saba wahudhuria maonyesho ya madini Geita

    Washiriki zaidi ya 400 kutoka ndani na nje ya nchi yakiwemo makampuni mbalimbali yanayojishughulisha na shughuli za uchimbaji madini wanatarajiwa kushiriki katika maonyesho ya sita ya kimataifa...

  3. RC aagiza wahusika ‘kausha damu’ wakamatwe

    Mkuu wa Mkoa wa Geita, Martine Shigela ameagiza kukamatwa na kunyang’anywa biashara watu wanaokopesha bila kibali wala lesini kutoka Benki Kuu (BOT) ambao hukopesha fedha kwa riba kubwa maarufu...

  4. PRIME Serikali yachunguza watumishi wanaojipatia uhamisho bandia

    Serikali inachunguza matukio ya baadhi ya watumishi wanaohama kwenye maeneo yao ya kazi kwa kughushi saini za makatibu wakuu wa Tamisemi na Utumishi na atakayebainika atafukuzwa kazi.

  5. ‘Wakuu wa mikoa, wilaya washirikishwe fedha za Tasaf’

    Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene ameagiza uwazi kwenye fedha zinazotolewa na Serikali kupitia Mpango wa Kunusuru Kaya maskini...

  6. Tasaf yaondolea wanafunzi adha ya kutembea umbali mrefu

    Adha ya kutembea umbali mrefu kwenda shule waliyokuwa wakiipata wanafunzi wanaotoka kijiji cha Mkungo kata ya Bukome wilayani Chato Mkoa wa Geita, iko mbioni kumalizika baada ya Serikali kupitia...

  7. Fedha za Tasaf zawaokoa wanafunzi Chato

    Akisoma taarifa ya utekelezaji wa mradi huo kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora George Simbachawene, Ofisa mtendaji wa kijiji hicho Clement Kasota...

  8. Serikali yacharuka malipo fedha za Tasaf kwa wasiohusika

    Waziri wa nchi ofisi ya ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene ameagiza kusitishwa kwa fedha zinazotolewa kwa walengwa wasio na sifa wa Mpango wa kunusuru...

  9. PRIME Siku ya kwanza darasani kwa mwalimu asiyeona

    Michael Kayumbo (34) mzaliwa wa kijiji cha Mwanhalanga mkoani Shinyanga, ni kielelezo tosha cha namna watu wenye ulemavu wanavyoweza kufanya makubwa kwao wenyewe na kutoa mchango kwa Taifa.

  10. Kanisa lililonajisiwa kujengwa upya

    Kanisa la Mtakatifu Bernadetha wa Lurd Parokia ya Nyakato-Buzrayombo lililovamiwa na kutiwa najisi baada ya watu wasiojulikana kufanya kufuru kwenye Ekarist Takatifu usiku wa kuamkia Septemba...

Page 1 of 40

Next