Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

333 results for Sererya Ayubu :

  1. Gyökeres awazima Man United, waelekeza majeshi Ujerumani

    Manchester United imegeuzia macho kwa mshambuliaji wa Eintracht Frankfurt ya Ujerumani, Hugo Ekitike, kufuatia ugumu uliojitokeza wa kumnasa mshambuliaji aliekuwa anapewa kipaumbele kujiunga na...

  2. Liverpool imemnasa Wirtz kwa usajili wa rekodi

    Liverpool imepambana vita kali kwenye mchakamchaka wao wa kunasa saini ya kiungo mshambuliaji wa Kijerumani, Florian Wirtz ikifikia makubaliano ya kumsajili kwa ada ya Pauni 116 milioni, ikiwa ni...

  3. Al Ahly yaikazia Inter Miami ya Messi Kombe la Dunia la Klabu

    Inter Miami ya Lionel Messi wa imelazimishwa suluhu na Al Ahly ya Misri katika michuano ya Kombe la Dunia la Klabu.

  4. Mbeumo bado yupo njia panda England

    Swali moja gumu, Bryan Mbeumo anakwenda wapi? Staa huyo wa Brentford amejikuta kwenye sintofahamu kubwa wakati huu akisakwa na vigogo wa Ligi Kuu England katika dirisha hili la majira ya kiangazi.

  5. Gyokeres aikacha Man United, Arsenal ishindwe yenyewe

    Straika, Viktor Gyokeres amegomea uhamisho wa kwenda kujiunga na Manchester United, imeripotiwa Straika huyo amepania kufanya uhamisho kwenye dirisha hili la uhamisho wa majira ya kiangazi huku...

  6. Cunha ataja sababu mbili zilizompeleka Man United

    Siku moja baada ya kutambulishwa, Mshambuliaji mpya wa Manchester United, Matheus Cunha ametaja sababu mbili ambazo zimemfanya ashawishike kujiunga na timu hiyo katika dirisha kubwa la usajili la...

  7. PRIME Maswali tata zawadi za Yanga FA

    Mjadala huo umeibua maswali mengi ambayo hata wewe msomaji utakuwa unajiuliza juu ya mvutano huo ambao ni kama umezima kabisa ishu ya Dabi ya Kariakoo.

  8. Frank amrithi Postecoglou Spurs

    Thomas Frank ameiongoza Brentford katika michezo 317 ambapo ilipata ushindi katika mechi 136, ilitoka sare 71 na kupoteza idadi ya mechi 110 huku ikifunga mabao 527 na kuruhusu nyavu zake...

  9. Kariakoo Derby yasogezwa mbele, kupigwa Juni 25

    Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imesogeza mbele mechi ya Ligi Kuu namba 184 baina ya Yanga na Simba uliopangwa kuchezwa Juni 15 hadi Juni 25.

  10. Simba kamili kwa dabi, Nouma na Che Malone fiti

    Wachezaji wa Simba waliokuwa na majeraha ni Moussa Camara, Valentino Nouma, Che Malone Fondoh pamoja na Mzamiru Yassin ambaye hakuonekana kikosini kwa muda mrefu.

Page 1 of 34

Next