Gambo ahoji kusuasua ujenzi wa stendi ya mabasi Arusha
Mbunge wa Arusha Mjini (CCM), Mrisho Gambo, amemuhoji Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Dk Festo Dugange, ikiwa yuko tayari kujiuzulu endapo ujenzi...