Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

2042 results for Sharon Sauwa :

  1. Milioni 100 zalipwa kwa waliopisha mradi wa gesi nadra ya helium

    Fidia ya zaidi ya Sh100 milioni imelipwa kwa wakazi wa vijiji vitano vya Wilaya ya Momba Mkoani Songwe ambao wamepisha Kampuni ya Helium One, inayojihusisha na utafiti na uchimbaji wa gesi ya...

  2. ‘Shule maalumu za sayansi za wasichana 26 hazina maabara’

    Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, wamebaini uwepo wa shule zinazofundisha masomo ya sayansi zisizo na maabara, huku zikiwa zimedahili wanafunzi ambao baadhi...

  3. Uchaguzi Mkuu 2025: Musukuma alipuka bungeni

    Homa ya uchaguzi imeendelea kutanda bungeni ambapo Mbunge wa Geita Vijijini (CCM), Joseph Musukuma ameshauri watumishi wa umma wanaotaka kugombea ubunge katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025...

  4. Gambo aibua tuhuma za ufisadi Arusha, Spika Tulia…

    Mbunge wa Arusha Mjini (CCM), Mrisho Gambo ameibua tuhuma za ufisadi juu ya matumizi mabaya ya fedha kwenye miradi ya maendeleo.

  5. Bunge lapitisha bajeti ofisi ya Waziri Mkuu

    Bunge limepitisha bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu, taasisi zake na Mfuko wa Bunge kwa mwaka 2025/26 huku Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisema Serikali itaendelea kuhakikisha kuna hali ya usalama...

  6. Bashe awavaa TRA kisa mashine za EFD

    Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe, ameionya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kutowalazimisha wakulima kutumia mashine za kutoa risiti za kielektroniki (EFDs), akibainisha kuwa hakuna sheria...

  7. Gambo ahoji kusuasua ujenzi wa stendi ya mabasi Arusha

    Mbunge wa Arusha Mjini (CCM), Mrisho Gambo, amemuhoji Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Dk Festo Dugange, ikiwa yuko tayari kujiuzulu endapo ujenzi...

  8. VIDEO: Lusinde alia wanaoomba ajira kufanyishwa mitihani, atoa pendekezo

    Mbunge wa Mvumi (CCM), Livingstone Lusinde amekosoa utaratibu wa waajiriwa wapya kufanyiwa mtihani kabla ya kuajiriwa na badala yake ametaka vitumike vyeti.

  9. Mbunge ashauri nauli SGR ipunguzwe

    Mbunge wa Kerwa (CCM), Innocent Bilakwate ameshauri Serikali kushusha bei ya usafiri wa treni ya kisasa ya (SGR) kwa mabehewa ya watu mashuhuri (VIP) ili kuepuka kupata hasara inayotokana baadhi...

  10. PRIME Mambo sita yamsubiri Majaliwa bungeni

    Suala la wageni kupewa fursa ya kufanya kazi zinazoweza kufanywa na Watanzania, na changamoto ya ajira nchini, ni miongoni mwa hoja zitakazojibiwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa bungeni jijini...

    New Content Item (1)

Page 1 of 205

Next