Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

90 results for Stella Ibengwe :

  1. Wanavijiji wachoshwa na maji ya visima

    Ameiomba Serikali kuwaondolea adha hiyo kwa kuhakikisha mradi wa maji ya Ziwa Victoria ambao umeanza kutekelezwa unakamilika haraka ili kuhakikisha tatizo la kukosekana huduma ya majisafi na...

  2. Zahanati yadaiwa kutelekezwa Shinyanga

    Wakazi wa Kijiji cha Isela Kata ya Samuye Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga, wameiomba Serikali kukamilisha ujenzi wa zahanati ya kijiji hicho iliyotelekezwa hali inayowalazimu kutembea zaidi ya...

  3. Wadau Shinyanga wataka Serikali ipunguze utitiri wa kodi

    Wadau wa masuala ya kodi mkoani Shinyanga wameishauri Serikali kuondoa utitiri wa kodi kwenye biashara na taasisi ili kupunguza changamoto zinazosababisha baadhi ya wafanyabiashara kukwepa kodi...

  4. Ujenzi uwanja wa ndege Ibadakuli wafikia asilimia 80

    Ujenzi wa kiwanja cha ndege Ibadakuli katika Manispaa ya Shinyanga umefikia asilimia 80 na unatarajiwa kukamilika Aprili 2025.

  5. Wanaotumia vyandarua kufugia kuku kukiona

    Agizo hilo limetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Anamringi Macha leo Jumamosi Desemba 14, 2024, wakati wa mkutano wa waraghabishi kuhusu ugawaji wa vyandarua ngazi ya kaya.

  6. Sababu kutobandikwa majina vituo vya wazi

    Shinyanga. Msimamizi wa uchaguzi Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga, Alexius Kagunze, amesema baadhi ya vituo vya wazi ambavyo haviko kwenye majengo ya umma, havijabandika majina isipokuwa...

  7. Jeneza lakutwa shambani kwa mganga, Polisi wamshikilia

    Katika hali isiyokuwa ya kawaida, jeneza tupu limekutwa limefichwa kwenye shamba la Kumalija Budeba (55), mkazi wa Mtaa wa Mwime Makungu, Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga.

  8. Watatu wafariki malori mawili yakigongana, kuteketea Kahama

    Watu watatu ambao majina yao hayajatambulika wamefariki dunia papo hapo, huku mmoja akijeruhiwa kwa kukatika miguu katika ajali iliyohusisha malori mawili.

  9. Wawili wauawa kwa kuchomwa moto, wakituhumiwa matukio ya uvamizi

    Jeshi la Polisi mkoani hapa, linaendelea na uchunguzi wa tukio la wananchi kujichukulia sheria mkononi kwa kuwaua vijana wawili kwa kuwachoma moto, wakituhumiwa kwa matukio ya uvamizi.

  10. Tope lazua taharuki mnada wa Mhunze Shinyanga

    Wakazi wa Kishapu wamekumbwa na sintofahamu baada ya ardhi ya eneo wanalolitumia kufanya mnada la Mhunze kuanza kutoa tope lililokuwa likipanda juu.

Page 1 of 9

Next