Basilla:Kifo cha Anko Hashim tumepoteza nguzo ya tasnia ya urembo Dar es Salaam, Mkurugenzi wa Kampuni ya Look inayoendesha mashindano ya kumsaka Miss Tanzania, Basilla Mwanukuzi ameelezea namna marehemu Hashim Lundenga alivyomuachia kijiti cha kuongoza...
Askofu Sangu alivyomzungumzia Papa Francis Shinyanga. Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Shinyanga, Msinyori Liberatus Sangu ameeleza kwa masikitiko namna anavyomuenzi na kumkumbuka Papa Francis. Akizungumza na waandishi wa habari...
Mbeto asisitiza Tanzania kuendelea kuheshimu taasisi za kiraia, dini Mbeto amesema makundi hayo , yasilishinikize Jeshi la Polisi kibabe na vitisho badala yake, watumie busara ya kutii sheria bila shuruti wala chagizo .
PRIME Viongozi wa dini washusha nondo kuelekea uchaguzi Ikiwa imesalia takribani miezi sita Tanzania kuingia katika uchaguzi mkuu, viongozi wa dini wametoa wito kwa Serikali na wadau wa siasa kuhakikisha unakuwa huru na wa haki, wakisisitiza kuwapo...
Fadlu aitega Stellenbosch, atoa ombi Simba Amesema, wamejipanga vyema kucheza katika uwanja wa nyumbani ingawaje wao ndio timu ya kwaza kuuzindua uwanja huo tangu kufanyiwa matengenezo.
PRIME Maaskofu watema nondo kuelekea uchaguzi mkuu “Vyama vingi ni sawa na kwaya zinazoimba, kila mtu aimbe wimbo wake mzuri na mtu achague aende anakotaka, hatulazimishi watu kwenda wasipotaka. Wimbo mzuri ndio unaovutia watu na waje kwako...
PRIME Warioba ataja mambo matatu kufanikisha uchaguzi wa amani Wakati vyama vya siasa vikiendelea na maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025, Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba amebainisha mambo matatu yanayopaswa kuzingatiwa ili kuhakikisha...
Tamisemi kutekeleza mambo 14 bajeti 2025/26 Kukuza demokrasia, kusimamia shughuli za utawala bora, ushirikishwaji wa wananchi na ugatuaji wa madaraka kwa umma ni baadhi ya vipaumbele vitakavyotekelezwa kwa fedha hizo 2025/26.
Simba kuwasili Zanzibar kesho maandalizi ya kuivaa Stellenbosch Kikosi cha Timu ya Simba, kinatarajiwa kuwasili kesho Apili 16, 2025 visiwani Zanzibar kwa ajili ya kujiandaa na kukabiliana na timu ya Stellenbosch ya Afrika Kusini katika mechi ya kwanza ya...
Al Nassr kumfunga upya Ronaldo Al Nassr imetamba kuwa haidhani mshambuliaji wake Cristiano Ronaldo ataondoka klabuni hapo mara baada ya mkataba wake wa sasa kumalizika, Juni mwaka huu na inaripotiwa imeanza mchakato wa...