VIDEO: Chacha Heche ashinda uenyekiti Chadema Mara akiwa nje ya nchi Apata kura 59 sawa na asilimia 53 akiwa nje ya nchi, akiwashinda wenzake wawili waliopata kura 25 kila mmoja.
Zena: MCL inaonesha kwa vitendo namna ya kuimarisha mshikamano Zena ametoa kauli hiyo leo Jumatatu Machi 25, 2024 alipokuwa akizungumza kwenye uzinduzi wa Kampeni ya The Citizen Rising Woman katika Hoteli ya Madnat, Unguja Zanzibar
PRIME Huyu ndiye Bassirou Faye aliyeishangaza dunia kutokea Senegal Kiongozi wa upinzani Senegal, mwenye nguvu zaidi, Ousmane Sonko, alitarajiwa kuwa mgombea urais mwenye nafasi kubwa ya kushinda katika uchaguzi mkuu 2024, hata hivyo alizuiwa kugombea.
Ongezeko mauzo ya bustani nje ya nchi na athari zake kiuchumi Kuimarika kwa uhusiano wa kidiplomasia, uwepo wa sera wezeshi katika sekta ya biashara na miundombinu zimetajwa kuwa sababu za kupaa kwa mauzo ya mazao ya bustani nje ya nchi, ikiwemo mbogamboga...
Simba, Yanga usiku freshi tu Muda wa mechi haupaswi kuwa sababu ya kujitetea kwa Simba na Yanga wakati zitakapokabiliana na Al Ahly na Mamelodi Sundowns katika mechi za nyumbani za hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa...
Mapya yaibuka kesi ya Diddy Wakati msako wa kumsaka ‘rapa’ Diddy ukiendelea nchini Marekani mapya yameibuka ambapo imeripotiwa kuwa ‘rapa’ Yung Miami alihusika kumbebea Diddy dawa za kulevya aina ya ‘Pink Cocaine
Kuna la kujifunza kauli ya Ndumbaro Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Damas Ndumbaro amezua mjadala kufuatia kauli yake aliyoitoa hivi karibuni aliposema atasikitishwa endapo ataona Watanzania wamevaa jezi za Al Ahly katika...
Hatari ya shisha kwa vijana katika kifua kikuu Ni kawaida siku hizi katika kumbi za starehe mijini kukuta mitungi ya shisha juu ya meza, huku watumiaji wakichangia kilevi hicho. Je, unajua kuna uwezekano mkubwa mtumiaji kupata maambukizi ya...