Manyara yapatiwa mbwa wa Polisi Mbwa hao watakuwa na mchango mkubwa katika kuwasaidia askari kuimarisha doria na misako ya Polisi.
Sababu matukio ya ukatili kuongezeka Zanzibar Malezi duni ya watoto yanayofanywa na wazazi, kukosa elimu ya kujitambua na umasikini vinatajwa na wadau kuwa sababu ya kuongezeka kwa matukio ya ukatili wa kijinsia na udhalilishaji, visiwani...
Rais kusikiliza kero za wananchi sawa, lakini… Alikuwa akizungumza na waandishi wa habari wiki iliyopita jijini Dar es Salaam. Akasema utaratibu huo utakuwa ukifanyika katika Ofisi ya Chama (CCM), Lumumba Dar es Salaam, Dodoma au Zanzibar...
PRIME Kitendawili cha pombe, sigara kwenye mfumuko wa bei Wakati mfumuko wa bei wa jumla ukishuka kutoka asilimia 4.9 Januari 2023 hadi asilimia tatu Januari 2024, hali haikuwa hivyo kwa bidhaa za pombe na sigara.
Uwanja mpya wa Afcon waanza kujengwa Arusha Serikali imetoa Sh286 bilioni kwa ajili ya ujenzi wa Uwanja wa Mpira wa Miguu mkoani Arusha uliopewa jina la Dk Samia Suluhu Hassan utakaojengwa na Kampuni ya China Railway Construction...
Rais Samia atazame sanaa, na wasanii wa mikoani Katika makala ya leo nitaanza tofauti kidogo, nitaanze na wasifu wangu mwenyewe. Nilipanda jukwaani kupiga muziki kwa mara ya kwanza mwaka 1969, nikiwa na wenzangu akina Iddi Mwanahewa, John...
Rais Samia anaongozwa na falsafa gani katika uongozi wake?-5 Dhana ya mageuzi imezoeleka sana kwenye medani za siasa na uchumi. Si wakati wote mageuzi yanaanza kwenye fikra kwanza; kuna wakati mageuzi huanza kutekelezwa kwenye vitendo ndipo yakatafsiriwa...
Sintofahamu mitihani ya mchujo kwa walimu Mitihani ya mchujo ni moja ya mbinu za kupata wafanyakazi bora katika eneo husika, ambayo mara nyingi hufanywa ili kuhakiki uwezo alionao mwombaji wa ajira kulingana na utaalamu stahiki.