Mikoa mitano kupata mvua kuanzia Mei 3 hadi 6 Mamlaka hiyo imewataka wananchi kuendelea kufuatilia na kuzingatia taarifa za utabiri kutoka TMA pamoja na kupata ushauri na miongozo ya wataalamu katika sekta husika, ili kujikinga na athari...
CRDB yaamriwa kumlipa fidia Sh300 milioni Balozi wa Tacaids Mahakama imefikia uamuzi huo katika hukumu iliyotolewa jana Aprili 30, 2024 na Hakimu Mkazi Mkuu, Rahim Mushi, katika kesi ya madai aliyofunga Bahenge dhidi ya benki hiyo akiilalamikia kwa...
Namna lugha inavyoweza kuathiri biashara ya huduma za kifedha Kiswahili ni lugha kuu inayotumika na Watanzania wengi wanaotumia huduma rasmi za kifedha nchini. Taarifa za Ripoti ya Utafiti wa Maoni ya Watumiaji wa Huduma za Kifedha nchini (Finscope,2023)...
PRIME Punguzo lenye neema kwa benki, Serikali na wananchi Sekta ya huduma za fedha ni miongoni mwa zinazokua kwa kasi hapa nchini, huku ujumuishi wa watu katika huduma hizo muhimu za kiuchumi ukiongezeka.
PRIME Mkurugenzi wa zamani ZBC ambwaga tena DPP kortini DPP katika sababu zake nne za rufaa, alikuwa anadai kuwa Jaji aliyewaachia alikosea kisheria alipohitimisha kuwa Mitawi na mwenzake hawakuwa wamefanya biashara yoyote ya uuzaji magari katika eneo...
Suala la malipo wastaafu iliyokuwa Jumuiya Afrika Mashariki laibuka upya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kama wapo wanaodai wawasilishe madai kwa mwajiri wao.
Suala la malipo wastaafu iliyokuwa Jumuiya Afrika Mashariki laibuka upya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kama wapo wanaodai wawasilishe madai kwa mwajiri wao.
Wasichana wapewa mbinu kumudu masomo ya sayansi Kikubwa kinachoangaliwa ni kubuni na kutengeneza mifumo inayotatua changamoto za jamii
Miaka 20 ya Poland ndani ya Umoja wa Ulaya Leo, Mei Mosi, Poland inaadhimisha miaka 20 tangu ilipojiunga na Umoja wa Ulaya (EU) mwaka 2004. Kipindi hicho, ilipokea kundi kubwa la nchi 10 za Ulaya Mashariki na Kati, ikiwemo Poland ambazo...
Namna lugha inavyoweza kuathiri biashara ya huduma za kifedha Kiswahili ni lugha kuu inayotumika na Watanzania wengi wanaotumia huduma rasmi za kifedha nchini. Taarifa za Ripoti ya Utafiti wa Maoni ya Watumiaji wa Huduma za Kifedha nchini (Finscope,2023)...
Simba ya Mgunda na mambo mapya Siku chache baada ya kurudishwa Simba, kocha Juma Mgunda ametaja mambo matatu yatakayombeba kwenye mechi nane zilizobaki akianza na sare ya mabao 2-2 dhidi ya Namungo ugenini.
Nigeria kama Marekani, mabifu kila kona Mwanamuziki wa Nigeria, Kizz Daniel amezua mijadala baada ya majibizano yaliyotokea kati yake na msanii mwenzake Tekno huku mashabiki wakidai kuwa Kizz alimtumia Tekno kuingiza maokoto kupitia...
PRIME Kwa nini tusiwapoteze wanaotaka kutupoteza? Japo walijulikana, watu wasiojulikana walijulikana kwa unyama na ushenzi wao enzi zile za ubabe na uungu ngurumbili. Kuna mafyatu walipotezwa na mafyatu wasiojulikana bila hata kujulikana...
Hii ndiyo elimu itakayokomesha ajira zinazodhalilisha Watanzania nje Kuna uwezekano mkubwa wa kuzuia Watanzania kudhalilika nje, ikiwa mfumo wa elimu utawawezesha kuwa na uwezo wa kujiajiri au kurandana na mahitaji ya soko.