Search

629 results for Jesse Mikofu :

  1. Wakunga waeleza kinachoshusha morali ya kazi

    Hata hivyo, kupitia risala hiyo wameahidi kuyaendeleza mazuri na kuyaboresha kila mwaka ili kutoa huduma bora za afya ya mama na mtoto.

  2. Safari za baharini zarejea kimbunga Hidaya kikipoteza nguvu

    "Tulikuwa bado tunaangalia hali ikoje lakini kwa sasa tumeona imetulia na tumeruhusu safari ziendelee kama kawaida, kwa hiyo kuna boti inaenda Dar es Salaam na meli inaondoka kwenda Pemba," amesema.

  3. PRIME Kishindo cha Kimbunga Hidaya

    Upepo mkali ulivuma usiku kucha wa jana na leo asubuhi maeneo ya Dar es Salaam, Lindi, Mtwara na Pwani hususan Kisiwa cha Mafia na inadaiwa nyumba 30 hadi 50 zimeathiriwa

  4. Usafiri wa boti Dar- Z’bar, vivuko vyasitishwa, TMA yatoa taarifa

    Kimbunga Hidaya kinatarajiwa kuendelea kusogea karibu zaidi na ukanda wa pwani ya Tanzania huku kikipungua nguvu yake taratibu kuelekea usiku wa kuamkia kesho Mei 5, 2024

  5. Wasichana wapewa mbinu kumudu masomo ya sayansi

    Kikubwa kinachoangaliwa ni kubuni na kutengeneza mifumo inayotatua changamoto za jamii

  6. Upembuzi yakinifu waanza kuongeza kiwango cha umeme Zanzibar

    Kazi hiyo inafanywa kwa ushirikiano kati Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) na Shirika la Umeme Zanzibar (Zeco) kwa kubadilisha nyaya zinazopeleka umeme kutoka Ubungo Dar es Salaam hadi Fumba...

  7. CCM yajinasibu kwa kuwa na hazina ya wazee

    Kavishe amesema hatua hiyo inajenga matumaini mapya kwao kuonekana wanakumbukwa, hivyo kuwa katika nafasi nzuri ya kuendelea kutoa ushauri wao.

  8. PRIME Othman akosoa mfumo wa utendaji nchini

    Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo, Othman Masoud, amesema katika mfumo wa uwajibikaji kila mtu analalamika hata mamlaka zenyewe

  9. Mali za Sh15 bilioni za watuhumiwa dawa za kulevya kutaifishwa Z’bar

    Kamishna Kanali Burhani Zuberi Nassoro amedai kuwa dawa hizo ziliingizwa nchini na wafanyabiashara wakubwa wa dawa za kulevya

  10. Wataalamu wa maabara wapaza sauti Zanzibar

    Utaratibu ulioanzishwa na Serikali wa kuendesha huduma za maabara za afya kwa utaratibu wa ubia kupitia kampuni na mashirika binafsi kwenye hospitali, umeendelea kuibua wasiwasi kwa wataalamu na...

Page 1 of 63

Next