Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

  1. PRIME Daktari aeleza madhara ya mapengo, aonya ukeketaji viungo kinywani

    “Tunakosa vingi sana.” Ndivyo anavyoanza kusema mkazi wa Tarime mkoani Mara, Christopher Sereri (52) akieleleza magumu anayopitia kutokana na mapengo aliyoyapata baada ya kung’oa meno sita kwenye.

  2. MSD yasema SPPS ipo palepale

    Nchi za Jumuiya ya Kusini mwa Afrika (SADC) zimefumua upya mpango wa ununuzi wa pamoja wa bidhaa za afya (SPPS), unaoratibiwa na Tanzania chini ya Bohari ya Dawa (MSD), ili kuondoa changamoto...

  3. Upasuaji wa kutumia mawimbi ya sauti kwa mara ya kwanza wafanyika Benjamin Mkapa

    Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) iliyopo jijini hapa imefanya operesheni ya kwanza ya ubongo kwa kutumia teknolojia ya mawimbi ya sauti (High-intensity Focused Ultrasound -HIFU) na kufanikiwa...

  4. Vipaumbele vinne vya Profesa Janabi WHO

    Mgombea wa Tanzania katika nafasi ya Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Kanda ya Afrika, Profesa Mohamed Janabi, ameainisha vipaumbele vinne atakavyovitekeleza iwapo atachaguliwa kushika...

  5. Sh6.7 bilioni kupunguza msongamano wa wajawazito Kahama

    Jengo hilo la ghorofa, ni maalumu kwa ajili ya mama na mtoto, litakuwa na sehemu ya kuhifadhi watoto njiti na sehemu ya kufanyia kangaroo kwa watoto hao.

  6. Mjadala kuhusu Veta wamuibua Majaliwa, atoa maelekezo

    Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, amesema mjadala ulioibuka kuhusu ushauri alioutoa kwa wahitimu wa vyuo vikuu kwenda kupata ujuzi vyuo vya ufundi stadi (Veta) una tija. Amesema...

  7. Haja ya somo la maadili kufundishwa vyuoni

    Vyuo vingi nje ya Tanzania vimetambua umuhimu wa somo hili, na hivyo kulifanya somo la lazima kwa wanafunzi wote wanaosoma katika vyuo hivyo.

  8. PRIME Walimu watambue hawako juu ya sheria

    Sote tuliopita shule tunafahamu adhabu ya viboko huelekezwa kiganjani au kwenye makalio, sasa huu utaratibu wa mwalimu kuchapa kila mahali tena kuzidi idadi ya viboko vilivyoidhinishwa au kupiga...

  9. PRIME Umuhimu wa ujuzi wa kidijitali ulimwengu wa sasa

    Si kazini, tasisi za utoaji elimu, nyumbani; mwote humo ujuzi wa kidijitali unatajwa kuwa mhimili muhimu wa kuleta mafanikio.

  10. PRIME Watoto wetu wanavyoangamia kwenye dunia ya dijitali

    Mijadala ya hivi karibuni imechochea mazungumzo ya dharura, huku wadau wakiishinikiza Serikali kuweka udhibiti mkali wa matumizi ya simu kwa watoto ili kuwalinda dhidi ya unyanyasaji wa kingono...

  11. Masaibu ya wanawake wenye vitambi

    Kuvunjika kwa uhusiano, kujichukia kwa kukosa mwonekano mzuri ni baadhi ya mambo wanayokumbana nayo wanawake wenye vitambi, huku takwimu zikionesha kuwapo kwa idadi kubwa ya wanawake wenye hali...

  12. Walimu wasio na ajira wataka umri wa kustaafu uwe miaka 50

    Umoja wa Walimu Wasio na Ajira (Neto) wa kati ya mwaka 2015 hadi 2023 umewasilisha mambo sita katika kikao cha mawaziri wawili, ikiwemo pendekezo la kupunguza umri wa kustaafu kwa walimu kutoka...

  13. PRIME Hii hapa siri ya kukusaidia kuwa na furaha ya kudumu maishani

    Maisha ni mchakato na sio mustakabali, hata kama upo mustakabali au mahali tunatamani kufika huko mbeleni ni lazima tuiheshimu na kuifurahia safari ya kufikia kule.

  14. PRIME Shemeji, huwezi kumpiga mke wangu

    Kisa hiki kinamhusu rafiki yetu. Siku moja, alisimulia kuwa kulikuwa na mabishano juu ya suala la kifamilia baina ya mkewe na kaka zake wawili ambao ni mashemeji zake.

  15. PRIME Mbinu za kukuza uchumi endelevu wa familia

    Ili kuimarisha uchumi wa familia, ni vyema kuwa na zaidi ya chanzo kimoja cha mapato kwa ajili ya usalama wa kifedha.

  16. ‘Ndoa sawa na mche, ipalilie istawi’

    Wanaume hupagawishwa na mambo madogo sana kama vile kumvua koti na kumkumbatia akitoka kazini.

  17. PRIME Mtoto aadabishwe au aadhibiwe?

    Mratibu wa Mtandao wa Elimu Tanzania (Tenmet) Martha Makalla amesema licha ya juhudi mbalimbali za kuhamasisha matumizi ya mbinu mbadala za malezi na nidhamu, vitendo vya ukatili dhidi ya watoto...

  18. Nafasi ya elimuhisia kwa wazazi na walimu

    Utafiti unaonesha kuwa mtoto mwenye utimamu wa hisia anakuwa na uwezekano mkubwa zaidi wa kufanya vizuri kwenye masomo kuliko mtoto mwenye changamoto ya hisia

  19. PRIME Wanaume wanaolia balaa kwa mapenzi

    Mwanaume akizungumza jambo huku akitoa machozi ujue anamaanisha kwa sababu ni jinsi ya watu wagumu kuonyesha hisia zao iwe ya furaha au huzuni

  20. Makundi haya hatarini kupata maambukizi ya Mpox

    Dodoma. Wakati ugonjwa wa Mpox ukiendelea kustua nchini na tahadhali mbalimbali zikiendelea kutolewa ni ukayajua makundi yaliyoko hatarini kupata ugonjwa huo. Machi 10 mwaka huu Waziri wa Afya...