1. Mtikisiko mpya kidato cha 5&6

    Ni kupoteza muda. Hii ndiyo kauli iliyo kwenye midomo ya wahitimu wengi wa kidato cha nne walioamua kujiunga na vyuo vya kati, badala ya kuendelea na masomo ya kidato cha tano na sita, licha ya...

  2. TUONGEE KIUME: Neno mwanamume linavyotuumiza wanaume

    Ulipokuwa mtoto, ukiumia, ukaanza kulia, kama utabahatika kuambiwa pole basi neno litakalofuata litakuwa ni “nyamaza, wanaume hawalii.”

  3. Safari ya maisha na mikasa mizito kwa Afande Sele

    Sikumfahamu, nilimuona ni mwanamke tu amekaa sebuleni, nilimsalimia na kuendelea na shughuli zangu naye aliniangalia bila kusema chochote, hivyo ndivyo nilivyokutana na mama yangu mzazi kwa mara...

  4. Mwongozo ulaji sahihi kwa wanaofunga

    Wakati Waislamu wameanza kufunga Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, ni muhimu wakazingatia mpangilio sahihi wa makundi ya vyakula wakati wa kufungua (kufuturu), ili waendelee kuimarisha afya zao.

  5. Matumizi sahihi ya sindano za insulin

    Tiba ya sindano za insulin mara nyingi hutumiwa na wenye aina ya kwanza ya kisukari, wanawake wajawazito wenye kisukari cha mimba na wakati mwingine mwenye aina ya pili ya kisukari anaweza...

  6. Tamu, chungu mtoto kusoma bweni

    Tuache mjadala nani anapaswa kusoma shule ya bweni nani hapaswi. Hata mjadala wa umri wa mwanafunzi kwenda bweni unaweza kutafutiwa siku yake!

  7. Halima alivyojiandaa kuelekea Miss World Mei 2023

    Mrembo anayeshikilia taji la Miss Tanzania mwaka 2022, Halima Kopwe anatarajia kwenda kuiwakilisha Tanzania kwenye mashindano ya Miss World Mei mwaka huu, ambayo yatafanyika katika nchi za Umoja...

  8. Asha Baraka 'The Iron Lady' asiyekubali kushindwa

    Desemba 17 mwaka jana, bendi kongwe ya muziki wa dansi nchini, African Stars ‘Twanga Pepeta’ ilizindua albamu yake ya 15 ‘Twanga Pepeta Forever’ ikiwa ni miaka 24 imepita tangu kuanzishwa kwake.

  9. Je wajua kulala kifudifudi ni salamu ya heshima Nigeria

    Jambo moja linalowatofautisha binadamu na ulimwengu wa wanyama ni tabia ya kukuza mila na desturi katika kila kitu kinacho wazunguka kuanzia urembo wa kimila hadi tabia.

  10. Tunatamani kuwapenda wake zetu lakini tatizo lipo hapa

    Kufua, kuosha vyombo, kupika, kusafisha nyumba, kunyoosha nguo hizo ni kazi za kina mama. Halafu unadhani tunaoamini hivyo ni sisi wanaume tu? Wala, mbona mpaka hao wanawake wenyewe wanaamini hivyo.

  11. Simulizi ya muuza kahawa ‘smart’

    Umaridadi huficha umasikini, huu ni usemi anaoishi nao Robert Dickson (30) anayetafuta riziki kwa kutumia ubunifu wake mwenyewe.

  12. Ndani ya boksi: Wasanii na jamii tupo 'Fildi' moja na shetani

    Je, unaifahamu stori ya wimbo unaoitwa Gloomy Sunday? Uliosababisha vifo vya watu zaidi 100? Rezso Seress, aliandika mashairi ya wimbo huo, baada ya kupigwa chini na mpenzi wake. Kisha kugeuka...

  13. Wasanii na kilio cha kupigwa fedha kisasa

    Kwa zaidi ya miaka saba Harmonize hajapokea fedha yoyote ya uchapishaji na usambazaji wa muziki wake, huku zaidi ya Sh100 zikiwa zimepigwa kupitia wimbo wake ‘Kwangwaru’ aliyomshirikisha Diamond...

  14. Mazoezi yanayoboresha tendo la ndoa haya hapa

    Misuli hii iko katika kiuno ndani ambayo huipa egemeo ili kushikilia nyumba ya uzazi, kibofu cha mkojo, uke na eneo la mwisho la mfumo wa chakula.

  15. RIPOTI MAALUMU: Mbumbumbu waongezeka nchini

    Ripoti ya ya utafiti wa ufuatiliaji wa kaya (NPS) ya mwaka 2020/2021 inaonyesha kuwa asilimia 76.0 ya Watanzania wote kwa ujumla ndiyo wanaojua kusoma na kuandika.

  16. Maajabu ya shule za Mburahati na Mbagala

    Ni kilomita 5.9 kufika Shule ya Sekondari Mbagala kutoka kituo cha mabasi Mbagala Rangi tatu. Ukipanda bajaji utachangia Sh500, lakini ukipanda bodaboda utalipia Sh2,500 kufika shuleni hapo.

  17. Hivi ndivyo watoto nchini wanavyoenda shule

    Ripoti ya NPS ya mwaka 2014/2015 ilionyesha wanafunzi hao wanatumia wastani wa dakika 27.6 kufika shuleni huku muda ukiongezeka hadi kufikia dakika 29.9 mwaka 2020/2021.

  18. Ndani ya boksi: Uwoya na mkopo wa 'Sevisi' ya ndinga zake

    Miaka kadhaa nyuma. Tuliambiwa jimbo la Calfornia, lilikuwa tajiri zaidi kwa Marekani. Uchumi wake ulikuwa sawa na wa Taifa la Ufaransa na mara tisa zaidi ya uchumi wa bara zima la Afrika. Unajua...

  19. Kwa nini Bi Kidude na Kanumba hawatumii Instagram?

    Wakati nguli wa muziki wa Rege duniani, Bob Maley anafariki mwaka 1981, hakukuwa na mitandao kama Instagram, YouTube na Spotify lakini sio ajabu kumuona hii leo katika mitandao hiyo na akadiriwa...

  20. Siri wengi kukimbilia shahada za heshima

    Mjadala wa utitiri wa watu hasa wanasiasa kutunukiwa shahada za heshima umeibuka tena. Safari hii mjadala huo ulianzia bungeni hali iliyomlazimu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa...