Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

  1. Mpango dawa muhimu za saratani waja, Serikali yataja mikakati

    Shirika la Afya Duniani (WHO) hurekebisha orodha ya dawa muhimu kila baada ya miaka miwili. Kuna dawa 83 muhimu kwa saratani, ambapo 13 kati ya hizo bado zipo chini ya hati miliki.

  2. Waendesha baiskeli kutoka Dar wawasaidia wanafunzi Simiyu

    Waendesha baiskeli hao walikabidhi viti mwendo, magongo ya kutembelea, magodoro 40, vitanda 20 pamoja na kusaidia ujenzi wa matundu 10 ya vyoo kwa ajili ya wanafunzi hao.

  3. PRIME Nyama za pua; Ugonjwa unaoharibu ustawi, ujifunzaji wa mtoto

    Hata hivyo, nyuma ya dalili hizi kuna hali ya kimya lakini yenye madhara makubwa kwa ‘Enlarged adenoids’ maarufu kama nyama za pua.

  4. Malala Fund yatenga Sh7 bilioni kusaidia wasichana waliokatishwa masomo Tanzania

    Lengo la mpango huu ni kuhakikisha wasichana hao wanapata fursa ya pili ya kujifunza, kujijengea maisha bora, na kuchangia maendeleo ya jamii zao.

  5. Magonjwa haya yanasumbua Dodoma

    Kaimu Mkurugenzi wa huduma za kinga kutoka Wizara ya afya, Dk Otilia Gowele akizungumza na viongozi wa dini na wadau wengine wa afya kwenye kikao kazi cha kujadili taarifa kuhusu magonjwa...

  6. Ukweli lishe kwa wagonjwa wenye kisukari

    Ni muhimu kuelewa kwamba lishe sahihi ni msingi wa udhibiti wa kisukari. Hata hivyo, lishe hii si ya kifahari kama wengi wanavyoamini.

  7. PRIME Wanawake wanavyolizwa tiba ya PID

    Ni tatizo lililogubikwa na uvumi na imani potofu miongoni mwa wanawake, hali inayotoa fursa kwa baadhi ya watu wachache kunufaika kiuchumi.

  8. Maajabu ya parachichi kwa afya ya binadamu

    Matumizi ya mara kwa mara ya parachichi husaidia kulinda afya ya ini kwa watoto mwenye umri zaidi ya miezi sita na kuendelea.

  9. PRIME Uende haja kubwa mara ngapi kwa siku, wiki?

    Kumekuwa na mitazamo tofauti kuhusu kwenda haja kubwa kwa siku. Wapo waendao mara tatu, huku wengine kwao ni tukio adimu na maalumu.

  10. Walimu wapigwa msasa ufundishaji kidijitali

    Katika kuhakikisha shule za msingi na sekondari zinafundisha kidijitali, walimu wa shule hizo kutoka maeneo mbalimbali wamefunzwa kufundisha kwa njia hiyo ili kuboresha upatikanaji wa elimu bora.

  11. Serikali kutoa ufadhili wahitimu 50 waliofaulu vizuri kidato cha sita

    Vijana 700 waliofaulu kwa kiwango cha juu katika masomo ya sayansi kwenye matokeo ya kidato cha sita yaliyotangazwa jana watanufaika na ufadhili wa masomo ya vyuo vikuu ndani na nje ya nchi...

  12. Wagonjwa wa ngozi waongezeka Bugando yashauri uvaaji kofia, nguo ndefu

    Hospitali ya Rufaa ya Kanda Bugando imesema magonjwa ya ngozi yameongezeka kwa wananchi kutokana na mabadiliko ya tabianchi, uchafuzi wa hali ya hewa na wananchi kupuuza dalili na mabadiliko...

  13. Wafanyakazi maeneo haya wapo hatarini kuugua ‘Silicosis’

    Watu wanaofanya kazi katika maeneo yanayozalisha vumbi ikiwemo migodini, mashineni na maeneo mengine kama hayo wametajwa kuwa hatarini kuugua ugonjwa wa Silicosis.

  14. PRIME Tunahitaji maktaba za jamii kila wilaya

    Hapa mkoani Arusha, kwa mfano, tunayo maktaba moja tu ya jamii iliyopo jijini Arusha. Ipo nyingine moja ninayoifahamu. Lakini hiyo imejengwa na mtu binafsi aliye sasa nje ya nchi.

  15. PRIME Nani wa kuwasemea wahadhiri wa vyuo vikuu nchini?

    Badala ya kuwa na madarasa ya kisasa, tunaendelea kutumia ubao wa kufundishia kama vile sekondari na shule za msingi.

  16. Tabasamu kwa mabinti wenye ndoto kuwa wanasayansi

    Jacklina Furaha, alimaliza kidato cha sita lakini hakupata nafasi ya chuo kikuu kutokana na kupata daraja la tatu la alama 15. Alijaribu kusoma stashahada ya uhandisi wa madini katika Chuo Kikuu...

  17. Wazazi mjitafakari maadili ya watoto

    Vitabu vitakatifu vimekuwa vikikazia wajibu huu muhimu wa wazazi ni pamoja na kulea sambamba na kuwafundisha watoto maadili ili nao wawarithishe watoto wao wakiwa na familia zao.

  18. Usiruhusu mafanikio yavunje ndoa

    Ni wangapi wanaweza kuchagua ndoa na kuachana na madaraka?

  19. PRIME Wazazi hawa hatari  malezi kwa watoto

    Ni sahihi kusema kuwa wazazi wana mchango mkubwa sana katika kujenga au kuvuruga tabia za watoto wao.

  20. PRIME Huu hapa mbadala wa matumizi ya nguvu katika malezi

    Mtoto asiyeamini anapendwa hawezi kuwa na adabu.