Mwaka 1995 katika Mkutano Mkuu wa CCM, Baba wa Taifa Julius Nyerere alisema bila CCM, imara nchi itayumba kwa kuwa Watanzania wanataka mabadiliko na wasipoyaona au kuyapata ndani ya CCM...
Wakati mjadala uliopo sasa ukiwa kwa nini watu wengi wanapendelea kuitwa wasomi wa PhD, mengine yamebainika kuhusu taratibu za usomaji wa shahada...
Katika mfululizo wa makala hii iliyoanza jana, tuliangazia kwa kina taratibu za usomaji wa shahada ya uzamivu katika vyuo vya Tanzania.
Huwezi kuwazungumzia Wahehe ukaeleweka vizuri bila kumtaja Chifu wao, Mkwawa.
Juni 11, 2010, katika Uwanja wa FNB maarufu “Soccer City”, kulikuwa na ufunguzi wa Kombe la Dunia. Siku hiyo, Desmond Mpilo Tutu alikuwa kwenye...