Hiki hapa kifaa kipya cha kijanja kukupima afya yako Kadiri siku zinavyozidi kwenda ndipo matumizi ya vifaa vya kisasa vyenye teknolojia ya hali ya juu vinazidi kushika kasi kama kifaa hiki kipya kinachotumia akili unde (AI) kiitwacho ‘Fitbit Air’...
Tusiache kuwalea hata kama wako vyuoni Katika miaka ya hivi karibuni, Tanzania imekuwa ikishuhudia ongezeko la wanafunzi wanaoingia vyuo vikuu vya umma na binafsi wakiwa na umri mdogo sana.
Vita, machafuko vyatajwa chanzo watoto kuachishwa shule Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa (UN) imezua mjadala mpana kuhusu mustakabali wa elimu duniani baada ya kubainisha kuwa karibu watoto milioni 100 wameachishwa shule moja kwa moja kutokana na...
Tanzania yajipanga kuzalisha wabunifu wa teknolojia Tanzania imeanza kunufaika na ushirikiano mpya na wataalamu wa ubunifu kutoka Finland, unaolenga kuimarisha uwezo wa wabunifu na wajasiriamali wa teknolojia nchini, hatua inayotarajiwa kuchochea...
Familia ilivyo msingi wa kutengeneza jamii bora Wakati Tanzania ikitarajia kuadhimisha siku ya familia pamoja na siku ya mtoto wa Afrika leo Jumanne, Juni 30, 2026 wataalamu wa masuala ya malezi na saikolojia wameeleza familia ndiyo nguzo kuu...
Mapito ya wenye mahitaji maalumu kutafuta elimu-1 Ni mazoea ya kila asubuhi watoto wengi huamka kuelekea shuleni pasipo kufikiria changamoto zinazoweza kuwazuia kufika darasani.
Tusiwacheke na kuwahukumu wenza wanapoachana Kawaida, wawili wafungapo ndoa hutegemea kuishi pamoja hadi kifo kiwatenganishe. Haya ndiyo maneno wasemayo katika viapo vya ndoa kwa Wakristo.
Hatari mwenza kupenda bila mipaka Mapenzi yanapokosa mipaka na maandalizi ya kiakili, hugeuka chanzo cha migogoro mikubwa, vurugu, mauaji ya kimapenzi na hata kujiua.
Mazungumzo ya afya yanavyoimarisha familia Tujiulize kwanza, je, tuna utamaduni wa kuzungumzia afya katika familia zetu? Hili ni swali zuri sana katika jamii ya sasa ya kiutandawazi, maana katika familia nyingi za Kitanzania, wazazi...
Hamahama ya wazazi inavyoathiri malezi ya watoto Katika miaka ya hivi karibuni, ongezeko la uhamaji wa wazazi kutoka maeneo ya vijijini kwenda mijini, au kutoka nchi zao kwenda ughaibuni kutafuta ajira na maisha bora, imekuwa na mchango mkubwa...
Akili Unde inapogeuka mshauri kwa wapendanao Sababu mojawapo inayofanya AI ivutie kama mshauri wa wapenzi ni uwezo wake wa kusikiliza bila kuhukumu.
Vituo vya afya vinavyobadilisha maisha ya wananchi Mwanza. “Wajawazito walikufa kwa sababu ya kukosa huduma…mtu anaumwa uchungu usiku anakosa mtu wa kumpeleka kwenye huduma za afya, analazimika kujifungulia huku kisiwani. Mwishowe hali...
Mitindo hii ya maisha chachu ya afya ya ubongo, mwili Watu wengi huchukulia kusahau mambo madogo kama sehemu ya kawaida ya uzee.