Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

  1. PRIME Njia 10 za kumuadabisha mtoto

    Katika kila jambo unalofanya kwa watoto wako, iwe ni kwa maneno au vitendo, elewa kwamba lengo kuu ni kuwafundisha na kuwasaidia kuelewa.

  2. PRIME Mama Mongella, mumewe watoa siri ndoa yao kudumu kwa miaka 56

    Hakuna namna unaweza kutenganisha jina la Getrude Mongella na harakati za kijinsia, kwa sababu yeye ni mmoja wa wanawake waliopigania haki za kijinsia kwa ufanisi mkubwa.

  3. PRIME Epuka kuhukumu kabla ya kujihukumu katika ndoa

    Tutaanza na kisa tulichoshuhudia kwa ndugu yetu mmoja. Huyu bwana kuna kipindi aliachishwa kazi. Hivyo, alianza kuamka kila asubuhi akielekea mjini kusaka vibarua ili mkono uende kinywani.

  4. ANTI BETTY: Naomba mbinu nimpange mume wa mtu anioe

    Mume wa mtu ananihudumia na kunijali mpaka natamani awe mume wangu. Huu mwaka wa tatu nipo naye, naomba mbinu ili afikirie kunioa, kwani pamoja na kunijali hajawahi hata siku moja kuzungumzia...

  5. PIRAMID YA AFYA: Kutopenda kula inaweza kuwa tatizo la kiakili

    Tabia ya kujinyima chakula kupita kiasi, wanaweza kula na kisha hukimbilia chooni kujitapisha au kunywa dawa za kujilazimisha kuharisha.

  6. PRIME Ukweli kuhusu mwanamke kuchelewa ukomo wa hedhi

    Kisayansi oestrojeni ni homoni ya kike inayozalishwa na ovari (mayai) ambayo kazi yake kubwa ni kuhakikisha ukuaji wa viungo vya uzazi kama vile tumbo la uzazi (uterus), ovari na mrija wa...

  7. Wafanyakazi wanavyoweza kudhibiti maradhi ya kisukari

    Kula vyakula vyenye kiwango kidogo cha wanga na vyenye kiasi kidogo cha sukari pamoja na makapi mlo, hii inaweza kusaidia katika kudhibiti kiwango cha sukari kwa ufanisi.

  8. PRIME Dhana potofu uzazi wa mpango na ukweli wake

    Utafiti uliofanywa na kuchapishwa na Shirika la Afya Duniani (WHO) mwaka 2019, umebaini kuwa theluthi mbili ya wanawake wenye uwezo wa kubeba mimba, wenye nia ya kuchelewesha kupata ujauzito au...

  9. Kila mtu ni mstaafu mtarajiwa anayepaswa kuyafanyia kazi ya wastaafu

    Kila mtu ni mstaafu mtarajiwa anayepaswa kuyafanyia kazi yanayomhusu yeye na wastaafu wenzake anaowaona leo watakaokuwa wenzake kesho, waweze kustaafu salama salimini wakiwa na amani.

  10. PRIME Marufuku ya majoho ilivyogonga mwamba shuleni

    Badala ya kutumia majoho kwenye mahafali, taasisi nyingine mbali na vyuo vikuu zilienda mbali zaidi kuhamasisha watoto kushona suti, ambazo zilikuwa ni za gharama kubwa.

  11. PRIME Maboresho mapya Sera ya Elimu kutatua changamoto za elimu?

    Sera hiyo ambayo utekelezaji wake ulianza mwaka 2024, itazinduliwa na Rais Samia Suluhu Hassan.

  12. Wadau watoa angalizo, sera ya elimu ikizinduliwa Januari 31

    Wakati Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuzindua rasmi Sera ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi ya 2014 toleo la 2023, Januari 31, 2025. Kabla ya uzinduzi huo, wadau wa elimu wametoa angalizo...

  13. PRIME KONA YA MAUKI: Jinsi ya kushughulikia migogoro

    Katika maisha yetu ya kila siku, iwe kazini, ofisini au nyumbani, migogoro ni asili na sehemu ya maisha yetu. Ukweli ni kwamba maisha yangekosa uhalisi pasipo kuwa na migogoro hii. Hii...

  14. PRIME Uhuru na usiri ni siri za mafanikio ya ndoa

    Ndoa ni muungano mtakatifu unaopaswa kuwa huru na usiotegemea au kuingiliwa na watu wengine.

  15. PRIME Hivi ndivyo Vikoba vya wanawake vinavyozibeba familia kiuchumi

    Januari, mwezi unaojulikana kama “Januari ngumu,” ni kipindi ambacho familia nyingi hupitia changamoto za kifedha baada ya matumizi makubwa wakati wa msimu wa sikukuu za mwisho wa mwaka.

  16. ONGEA NA ANTI BETTY: Mke wangu ananificha mimba yetu

    Kuna vitu Antie nashindwa hata kuamini, inawezekanaje mkeo akufiche kuhusu kuwa na mimba ambayo bila shaka wewe ni mhusika! Nashangaa mke wangu ananificha mimba yetu, inawezekanaje.

  17. PRIME Kelele na madhara yake kiafya  

    Vyanzo hivyo vya kelele vinaweza kuwa juu zaidi na kusababisha madhara ya kiafya.

  18. PRIME Yajue mambo hatari kwa afya ya ubongo

    Kiwango cha chini cha vitamini B-1 kinaweza kudhoofisha uwezo wa kupata maarifa, pamoja na kusababisha matatizo mengine mwilini.

  19. PRIME Simulizi ya aliyetolewa uvimbe wa kilo tano kwenye mfuko wa mayai

    Daktari bingwa wa magonjwa ya wanawake, Taiba Haidar kutoka Hospitali ya Rufaa ya mkoa Mwananyamala anasema uvimbe uliotolewa kwa mwanamke huyo una kilo 5.5 na ulikuwa kwenye mfuko wake wa mayai...

  20. KONA YA MSTAAFU: Mwaka mpya uwe na mambo mapya kwa mstaafu

    Wiki moja ya kwanza ya mwaka 2025 imekatika na sasa tunasubiriwa na wiki 51 kuzifanyia kazi ikiwamo ile muhimu ya uchaguzi mkuu wa nchi.