Wadau watoa angalizo, sera ya elimu ikizinduliwa Januari 31
Wakati Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuzindua rasmi Sera ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi ya 2014 toleo la 2023, Januari 31, 2025. Kabla ya uzinduzi huo, wadau wa elimu wametoa angalizo...