ACT-Wazalendo: Serikali iongeze mabasi ya mwendokasi njia ya Kimara
Awali, kiongozi huyo alikamatwa na askari wa Polisi katika kituo cha mabasi yaendayo haraka cha Kimara, na kupelekwa Kituo cha Polisi Mbezi Magufuli, ambapo alizuiliwa kwa muda kabla ya kuachiwa...