PIRAMID YA AFYA: Kutopenda kula inaweza kuwa tatizo la kiakili Tabia ya kujinyima chakula kupita kiasi, wanaweza kula na kisha hukimbilia chooni kujitapisha au kunywa dawa za kujilazimisha kuharisha.
KONA YA MSTAAFU: Kila mtu ni mstaafu mtarajiwa anayepaswa kutetea wastaafu Kila mtu ni mstaafu mtarajiwa anayepaswa kuyafanyia kazi yanayomhusu yeye na wastaafu wenzake anaowaona leo watakaokuwa wenzake kesho, waweze kustaafu salama salimini wakiwa na amani. Yasije...
Michelle Obama adaiwa kususia uapisho wa Trump Trump anatarajiwa kuapishwa jijini Washington DC, Januari 20, 2025, hafla ambayo inatarajiwa kuhudhuriwa na wanasiasa, watu mashuhuri na viongozi wa nchi na wanadiplomasia kutoka mataifa...