Dundula tishio kwa wageni Afrika Kusini Je, nini kitatokea nchini Afrika Kusini baada ya kundi lilinaloeneza chuki dhidi ya raia wa kigeni kusajiliwa kuwa chama cha siasa na kupanga kushiriki uchaguzi mkuu ujao. Ni kundi la Operesheni...
PRIME Polisi aliyejichimbia kaburi sasa anunua jeneza la Sh3 milioni Kuishi kwingi kuona mengi, ndivyo unavyoweza kusema juu ya tukio la askari mstaafu Patrick Kimaro, kujichimbia kaburi na kujinunulia jeneza la Sh3 milioni.
Mtoto wa Bongo ashitakiwa kwa tuhuma za rushwa Mtoto wa Rais wa Gabon aliyepinduliwa, Ali Bongo Ondimba na washirika kadhaa wameshtakiwa kwa ufisadi na kuwekwa kizuizini, mwendesha mashtaka wa Serikali ameiambia AFP leo Septemba 20, 2023.