34minutes ago.
Dk William Samoei Ruto, ndiye Rais wa Kenya. Ni mfano wa maisha ya watoto wengi maskini Wakenya ambao hudhani umaskini wao hauwezi kuwafanya wawe viongozi au matajiri.
Daktari Mwakapeje amesema usugu wa vimelea unaweza kuhama kutoka kwenye mifugo na kwenda kwa binadamu na pia unaweza kutoka kwenye viumbe hai...
Siku moja baada ya Tume Huru ya Mipaka na Uchaguzi (IEBC) ya Kenya, kumtangaza William Ruto kutoka Kenya Kwanza kuwa mshindi wa urais katika...
Marehemu aling’atwa na mamba mkononi na kuzamishwa majini hali iliyomsababisha kupoteza maisha.
Saa chache baada ya Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) ya Kenya kumtangaze Dk William Ruto kuwa Rais mteule wa Kenya, mwili wa ofisa wa tume...