Watanzania waibuka washindi wa Tuzo ya Kiswahili ya Safal ya Fasihi 2024
Tuzo hiyo iliyoanzishwa mwaka 2015 na Dk Lizzy Attree na Dk Mukoma Wa Ngugi mwaka 2014 ili kutambua uandishi kwa lugha za Kiafrika na kuhimiza tafsiri kutoka lugha hizo, inafadhiliwa na Kampuni...