Mahakama yamwachia huru Padri Soka Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi, imemuachia huru Padre Sosthenes Soka (42), baada ya upande wa mashtaka kushindwa kuthibitisha shitaka lililokuwa likimkabili pasipo kuacha shaka.
Watu kadhaa wahofiwa kufariki ajalini Mbeya Ajali hiyo imetokea leo Septemba 22 majira ya saa 12 jioni katika maeneo ya Iwambi jijini Mbeya likihusisha gari aina ya Coasta inayofanya kazi zake Nsalaga na Mbalizi.
PRIME Polisi aliyejichimbia kaburi sasa anunua jeneza la Sh3 milioni Kuishi kwingi kuona mengi, ndivyo unavyoweza kusema juu ya tukio la askari mstaafu Patrick Kimaro, kujichimbia kaburi na kujinunulia jeneza la Sh3 milioni.
Mahakama: Mwanamke aliyefia mahabusu ya polisi alijinyonga Mahakama hiyo imesema kujinyonga huko kulifanyika licha ya mwili wake kukutwa na majeraha kichwani na shingoni.
Wenye majengo marefu kupata ahueni ya umeme Unahofia gharama za umeme kwenye jengo lako la ghorofa au gharama unazolipa zinatishia kipato chako?
Bilioni 18 kupeleka umeme kwa wachimbaji wadogo Kanda ya Ziwa Serikali kupitia Shirika la Umeme nchini (Tanesco) imetoa zaidi ya Sh18 bilioni kupeleka nishati ya umeme maeneo ya wachimbaji wadogo katika Mikoa ya Kanda ya Ziwa lengo likiwa ni kuwapunguzia...
Utitiri wa tozo watajwa kikwazo kuvusha bidhaa Zanzibar kwenda Bara Wingi wa tozo, ushuru na kodi katika mchakato wa kuvusha bidhaa kutoka Zanzibar kuingia Tanzania Bara, umetajwa kuwa kikwazo cha maendeleo ya viwanda visiwani humo.
Chadema yaendelea kujifungia, maazimio kutolewa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema bado kinaendelea na vikao vyake vya kamati kuu kikijadili hali ya siasa nchini nchini operesheni za chama na kamati maalum ya chama Zanzibar.
PRIME ‘Kituo cha biashara Ubungo hakitaua Soko la Kariakoo’ Serikali imesema Kituo cha Biashara na Usafirishaji Afrika Mashariki (EACLC) kinachojengwa eneo la Ubungo jijini hapa hakitadhoofisha uwepo Soko Kuu la Kimataifa la Kariakoo, badala yake kitakuwa...
Utamaduni wa Afrika Mashariki kuoneshwa Serengeti Utamaduni wa Afrika Mashariki utaonyeshwa siku ya Serengeti Oktoba Fest itakayofanyika Oktoba 21,2023.
Wake za vigogo kulipwa mafao moja ya miswada mibaya kuwahi kutokea Wiki iliyopita wengi wamejua kauli ile ya Mama Salma haikuwa ya kuchangamsha Bunge tu, bali ilidhamiria kweli kuona watu wa aina yake wanapata mafao. Mtu unaweza kujiuliza, yeye na wenzake...
Jafarai yuko zake bize kuosha ndinga Wimbo wa ‘Niko Busy’ ndio ulimtambulisha Jafarai kwenye ramani ya muziki, ilikuwa ngoma yake ya kwanza kuifanya nje ya kundi la Wateule, Jafar Ally, miongoni mwa mastaa wa zamani wa Hiphop...