Daktari bingwa wa watoto Kibosho adaiwa kujiua Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa amethibitisha kutokea kwa tukio hilo akisema chanzo ni msongo wa mawazo uliotokana na afya ya akili.
Kumradhi Nehemiah Mchechu Tunakiri kuwa habari hiyo ilikuwa na tuhuma ambazo zimebainika kuwa za kudhalilisha dhidi ya Mchechu na ilikuwa na upungufu kitaaluma.
Bwege apata janga jingine, asisitiza haki uchaguzi mkuu Ni bahati mbaya kwa Bwege kuwa katika mfululizo wa kuugua maradhi mbalimbali ikiwamo kisukari kilichosababisha akatwe mguu wa kushoto huku figo zikifeli.
PRIME Mitazamo tofauti uamuzi wa Polepole kujiuzulu Polepole ameeleza kwamba kwa muda ambao amekuwa akitumikia Taifa ndani na nje ya nchi, ameona na kushuhudia mambo ambayo yamemfanya akose amani ndani ya moyo wake, hivyo ameamua kukaa pembeni.
Mfanyabiashara aliyejinyonga kuzikwa kesho Moshi Lucy Malisa amesema kaka yake atazikwa kesho nyumbani kwake eneo Msufuni, Msaranga.
PRIME Chadema yaeleza sababu kumkataa Jaji Kwa upande mwingine wakili wa upande kinzani, wamepinga sababu hizo wakidai hazifai kumtaka jaji ajiondoe kwenye kesi bali zinapasa kuwa sababu za rufaa.
Ripoti ya kampuni ya Carbon Tanzania yaonyesha maendeleo makubwa katika jamii kutokana na faida za miradi ya hewa ukaa
Boresha afya ya nguvu za kiume kwa vyakula hivi Ni muhimu kuzingatia mazoezi ya mwili, usingizi wa kutosha, na kuacha tabia hatari kwa afya ya uzazi.
EU yazindua programu ya Afrika, Ulaya kubadilishana utamaduni Umoja wa Ulaya (EU), umesema utaendelea kushirikiana na Afrika katika kuwawezesha wasanii wa mabara hayo mawili kuongeza ufanisi katika kazi zao za sanaa na utamaduni.
PRIME Chadema yaeleza sababu kumkataa Jaji Kwa upande mwingine wakili wa upande kinzani, wamepinga sababu hizo wakidai hazifai kumtaka jaji ajiondoe kwenye kesi bali zinapasa kuwa sababu za rufaa.
Kampuni za kimataifa 15 kuwekeza kongani Buzwagi Mgodi wa Buzwagi ulikuwa wa pili kwa ukubwa nchini ukiwa umeajiri watu zaidi ya 3,000 na ulifungwa rasmi Julai 2022.
PRIME Sibayon kupishana na Mukwala Simba Simba inapambana kuhakikisha inampata mshambuliaji aliyeachwa na Mamelodi Thabang Sibanyon kama itamuuza staa wake, Steven Mukwala.
Hoja nne ‘The Look’ kupinga kufutiwa kibali kuandaa Miss Tanzania Wakati kampuni inayoyasimia mashindano ya Miss Tanzania ya ‘The Look’ ikiwa imepigwa stop kuandaa mashindano hayo, yenyewe yaja na hoja nne kwenye rufaa yao waliyokata kwa waziri mwenye dhamana...
PRIME Kwa nini watia nia ubunge CCM wanatakiwa kujiandaa kisaikolojia? Kwa sababu sifa za kuteuliwa kwa mujibu wa kanuni za uteuzi wa wagombea uongozi katika vyombo vya Dola, toleo la 2021 zipo sita hivyo unaweza kuwa nazo zote lakini ukakiuka maadili yale yaliyopo...
Boresha afya ya nguvu za kiume kwa vyakula hivi Ni muhimu kuzingatia mazoezi ya mwili, usingizi wa kutosha, na kuacha tabia hatari kwa afya ya uzazi.