Mambo matatu yanayomsukuma Othman kujitosa urais Zanzibar
Tayari Othman amerejesha fomu ya kuomba uteuzi wa kuiwakilisha ACT Wazalendo katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025 katika nafasi ya Rais wa Zanzibar, akiwa mgombea pekee aliyetia nia kuwania nafasi...