Mgaywa atamba kuipeleka ADC Ikulu Uchaguzi Mkuu 2025 Uamuzi wa kumtangaza Mgaywa kugombea nafasi hiyo umetangazwa leo Mei 23, 2025, na Katibu Mkuu wa ADC taifa, Hamad Aziz jijini Dar es Salaam.
Naibu Waziri akwama kwenye tope ubovu wa barabara, ashindwa kuhudhuria mkutano Mwananchi limeshuhudia magari yakipata shida kupita katika baadhi ya maeneo na yalishindwa kuendelea na safari kutokana na barabara kujaa matope huku mengine yakinasa, likiwemo gari la Jeshi la...
Mwanaharakati Atuhaire akutwa mpakani mwa Uganda, Tanzania Viongozi hao walizuiwa kuingia nchini wakiwa Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere (JNIA) kabla ya kurudishwa nchini kwao.