watatu wa familia moja wadaiwa kumuua Mwenyekiti wa kitongoji Same
Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro linamshikilia mtu mmoja, huku wawili wakiendelea kutafutwa, wakituhumiwa kumuua kwa kumkata sehemu za kichwa na begani na kitu kinachodhaniwa kuwa na ncha...