Sabasaba ya ghasia nchini Kenya, Gen-Z waingia tena barabarani
Gen-Z hao wa Kenya wamekuwa wakiandamana mara kadhaa wakipinga utawala wa Rais William Ruto, wakidai amewasaliti kwa kuwa, hajatimiza ahadi yake ya kuwaletea maisha bora hasa watu wa hali ya...