Mwinyi ataka utafiti elimu ya juu uisaidie Serikali Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amewataka wahadhiri na wanataaluma kufanya utafiti na kutoa ushauri wa kitaalamu kwa Serikali ili iweze kuzipatia ufumbuzi changamoto mbalimbali zilizopo. Dk...
PRIME Abdul Wakil Alivyokabili hoja ya Upemba na Uunguja Rais wa Awamu ya Nne, Idris Abdul Wakil baada ya kuingia madarakani kazi ya kwanza ilikuwa ni kuondoa tabaka lililoanza kujitokeza la Upemba na Uunguja kwa kumteua Maalim Seif Sharrif Hamad...
Idadi ndogo wajitokeza kujiandikisha Micheweni Pemba. Wakati hatua ya kwanza uandikishaji wapiga kura wapya ikifikia tamati leo hii katika wilaya ya micheweni mkoa wa Kaskazini Pemba kumekua mwitikio mdogo wa wananchi wanaojitokeza. ...
Dk Mwinyi kuimarisha sura ya Mji Mkongwe Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi aweka wazi mikakati ya kuendeleza na kuimarisha haiba ya Mji Mkongwe visiwani humo, kwa lengo la kuvutia wageni, kukuza sekta ya utalii kwa uchumi wa Taifa...
Utafiti wafichua makundi yanayoongoza Ukimwi Z’bar Utafiti mpya kuhusu mwenendo ugonjwa wa Ukimwi visiwani Zanzibar, umebainisha makundi matatu yanayoongoza kwa maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU), huku wanawake wanaouza miili yao, wakitajwa...
Maboresho ya daftari la wapiga kura kuanza kesho Wakati zoezi la maboresho kwenye daftari la kudumu la kupiga kura likianza, Chama cha Mapinduzi (CCM), kimewaomba wananchi waliotimiza sifa za kupiga kura kujiandikisha kwenye daftari hilo ili...
Wadaiwa kulawitiana kwenye mahabusu ya Polisi Watuhumiwa wenye makosa mawili tofauti, wamedaiwa kulawitiana wakiwa katika mahabusu ya Kituo cha Polisi Madema, Mkoa wa Mjini Magharibi, Zanzibar.
PRIME Hati ya mashtaka 'dhidi ya Muungano’ ilivyomng’oa Rais Jumbe Jana katika makala kuhusu Rais wa Awamu ya Pili wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Aboud Jumbe Mwinyi, tuliishia kwenye jitihada zake za kuimarisha Muungano kwa kuunganisha vyama...
Pemba kuwa kitovu cha utalii Kamisheni ya Utalii Zanzibar imefungua rasmi Bonanza la Utalii, Utamaduni na Michezo kisiwani pemba ambalo linatajwa kuwa mwanga wa kukifanya kisiwa hicho kuwa kitovu cha utalii.
SMZ: Malalamiko dhidi ya bandari ya Malindi yana mashiko Serikali ya Mapinduzi (SMZ) imekiri imesema malalamiko yanayotolewa dhidi ya huduma za bandari ya Malindi yana mashiko hivyo imeunda kamati shirikishi kutafuta suluhu.