71 wafutiwa matokeo kidato cha sita, ualimu, 244 yazuiliwa Akitangaza matokeo hayo leo Julai 5, 2025 katika ofisi za baraza hilo Zanzibar, Katibu Mtendaji wa baraza hilo, Profesa Said Mohamed amesema matokeo hayo yamefutwa kwa mujibu wa kifungu cha 5(2)...
Ufaulu kidato cha sita wapanda Akitangaza matokeo hayo leo Julai 7, 2025 katika ofisi za Necta Zanzibar, Katibu Mtendaji wa baraza hilo, Profesa Said Mohamed, amesema watahiniwa 790 hawakufanya mithani sawa na silimia 0.62.
Dk Mwinyi awapa neno vijana matumizi ya lugha za kigeni Dk Mwinyi amesema, lugha hiyo imepata hadhi kwa kuendelea kukua na mataifa mengine kuona umuhimu wa kuitumia katika maendeleo ya shughuli za kiuchumi na kidiplomasia nchini.
Wizara ya Elimu yazindua mwongozo wa utoaji mikopo na ufadhili mwongozo wa utoaji mikopo kupitia tovuti rasmi ya wizara kabla ya kuwasilisha maombi yao
Zanzibar yaanza kukusanya takwimu za uwiano wa kijinsia Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali Zanzibar (OCGS), kwa kushirikiana na wadau wengine wakiwemo Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake (Tamwa) Zanzibar, wameanza kuandaa na kutengeneza mfumo wa...
Doria, uhifadhi wa bahari vyachochea uzalishaji wa samaki kuongezeka Mpango wa kuhifadhi bahari na kufanya doria za mara kwa mara umetajwa kupunguza uvuvi haramu na kuongeza uzalishaji wa samaki kisiwani Zanzibar kwa kipindi cha miaka minne.
Utafiti waibua changamoto zinazoukabili ushirika, Mwinyi ataka zishughulikiwe haraka Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi, amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imeanza mazungumzo na Benki ya Ushirika Tanzania ili itoe mikopo nafuu isiyo na riba kwa vikundi vya ushirika.
Ushirika chachu ya maendeleo ya wananchi Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Kazi Uchumi na Uwekezaji, Shariff Ali Shariff amesema sekta ya ushirika Zanzibar ina mchango mkubwa katika kukuza maendeleo ya kijamii na kiuchumi, huku ikiwezesha...
Wapigakura 3,352 wapoteza sifa Zanzibar Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imewaondoa wapigakura 3,352 kwenye Daftari la Kudumu la Wapigakura kwa kupoteza sifa.
Huu hapa mchanganuo waliochukua fomu za ubunge, uwakilishi na udiwani Z’bar Kwa upande wa wabunge pekee waliochukua fomu na kurejesha ni 485 huku upande wa uwakilishi wakiwa 400.