Zanzibar yajipanga kuwa kinara wa matumizi ya teknolojia na ubunifu Afrika
Unguja. Waziri wa Mawasiliano, Teknolojia ya Habari na Ubunifu, Mudrik Ramadhan Soraga, amesema Zanzibar imeanza safari ya mabadiliko ya kidijitali, huku jukumu kubwa likiwa kuhakikisha inaongoza...