Chaumma: Tukisubiri CCM watutungie sheria za kuwaondoa madarakani tutachelewa Katibu Mkuu wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salumu Mwalimu amesema namna pekee ya kukiondoa Chama cha Mapinduzi (CCM) madarakani siyo kusubiria mabadiliko ya mifumo ya sheria, badala...
CUF yajipanga kurejea kuwa chama kikuu cha upinzani, kuwaunganisha wanachama Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jaji Aziza Suwedi akizungumza wakati wa kuzindua kamati ya maadili ya uchaguzi ya kitaifa inayohusisha vyama vyama vya siasa, polisi, Zaeca...
Kamati ya maadili ya uchaguzi yazinduliwa Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC), Jaji Aziza Suwedi, amezindua rasmi kamati ya maadili ya uchaguzi ya kitaifa ikiwa ni hatua muhimu katika kuhakikisha uchaguzi wa baadaye...
Sita wafikishwa mahakamani tuhuma mauaji ya Sheikh Jabir Watu sita wamefikishwa katika Mahakama Kuu ya Zanzibar, wakishtakiwa kwa tuhuma za kumuua Sheikh Jabir Haidar Jabir.
Petroli yapaa, dizeli ikishuka Zanzibar Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati Zanzibar (Zura), imetangaza kupanda kwa bei ya petroli kwa Sh29 huku bei ya dizeli imeshuka kwa Sh255 kulinganisha na mwezi uliopita.
Vifaranga milioni 2.5 vya matango bahari, samaki vyazalishwa kuchochea uchumi wa buluu Katika kuhakikisha rasilimali za uchumi wa buluu zinakuwa na kunufaisha wananchi, vifaranga milioni 2.5 vya samaki na matango bahari vimezalishwa visiwani Zanzibar.
Wananchi walalamikia wizi wa mazao Kaskazini Unguja, RC atia neno Wananchi Mkoa wa Kaskazini Unguja wameiomba Serikali kufanya operesheni za mara kwa mara katika maeneo yanayotajwa kushamiri kwa vitendo vya wizi wa mazao, mifugo na uuzaji wa dawa za kulevya ili...
71 wafutiwa matokeo kidato cha sita, ualimu, 244 yazuiliwa Akitangaza matokeo hayo leo Julai 5, 2025 katika ofisi za baraza hilo Zanzibar, Katibu Mtendaji wa baraza hilo, Profesa Said Mohamed amesema matokeo hayo yamefutwa kwa mujibu wa kifungu cha 5(2)...
Ufaulu kidato cha sita wapanda Akitangaza matokeo hayo leo Julai 7, 2025 katika ofisi za Necta Zanzibar, Katibu Mtendaji wa baraza hilo, Profesa Said Mohamed, amesema watahiniwa 790 hawakufanya mithani sawa na silimia 0.62.
Dk Mwinyi awapa neno vijana matumizi ya lugha za kigeni Dk Mwinyi amesema, lugha hiyo imepata hadhi kwa kuendelea kukua na mataifa mengine kuona umuhimu wa kuitumia katika maendeleo ya shughuli za kiuchumi na kidiplomasia nchini.