Makamba awatuliza wabunge wanaorushiana makombora Mbunge wa Bumbuli (CCM), January Makamba amewataka wabunge wanaotoa maoni na ushauri wenye nia njema wasibezwe wala kuhukumiwa. Ng’enda awaonya wabunge kurushiana maneno Mbunge wa Kigoma Mjini (CCM), Kilumbe Ng’enda amewataka wabunge kuishi kwa kuheshimiana, kuvumilia na kutorushiana maneno. Kimeumana, Mbowe ajibiwa kila kona Siku moja baada ya Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe kutoa madai mbalimbali yakiwemo ya kufungiwa akaunti zake zote na Mamlaka ya Mapato... Kifusi chaua wanne mgodini Wachimbaji wanne katika mgodi wa dhahabu wa Namba Mbili uliopo kijiji cha Ilujamate Wilaya ya Busega Mkoa wa Simiyu wamefariki dunia baada ya... Kizimbani wakidaiwa kukutwa na kilo 13 za heroin Mfanyabiashara mkazi wa Morogoro, Hamis Awadhi (44) na mwenzake Maria Mtumbuka (29) wamefikisha katika mahakama ya hakimu mkazi Kisutu... Kitaifa TCRA: Mawakala ruksa kusajili laini za simu mitaani Kitaifa ‘Msitumie Mwezi wa Ramadhani kujinufaisha’ Kitaifa Mbunge ataka BoT izibane benki zishushe riba Kitaifa Raia wa Burundi wazidi kujiandikisha kurejea kwao Kitaifa Mbunge Hasunga aitaka Serikali kuwaongezea mshahara watumishi wa umma Kitaifa Wakala wa ushuru atupwa jela miezi 60 Kitaifa Vifo vya ajali ya Same vyafikia 11 Pongezi kwa viwanda bora vya Kitanzania kwa kutunukiwa tuzo za tano za KAIZEN Barbro Johansson ni shule inayomsaidia mwanafunzi kufikia uwezo wake wa juu kitaaluma Room to Read Tanzania inalinda ustawi na haki za mtoto wa kike kupitia elimu Maoni na Uchambuzi UCHAMBUZI: Kiswahili kinaweza kuwa Lingua Franka ya dunia Maoni na Uchambuzi UCHAMBUZI: Shule zetu zinavyoshindwa kuzalisha kina Mkapa wengi Maoni na Uchambuzi UCHAMBUZI: Coastal Union ni mfano bora wa kuigwa Ligi Kuu Maoni na Uchambuzi UCHAMBUZI: Wachezaji wetu watumie vema mapumziko ya corona kujifua Mwananchi Video video Makamba atema cheche bungeni | Mambo makubwa aliyofanya Magufuli hayatafutika || Watu wasibezwe video Ester Bulaya acharuka bungeni || Madeni ya serikali mfuko wa jamii advertisement video Ester Matiko asikitishwa na majibu ya serikali || Ulega amjibu kiaina Habari Zaidi Biashara Makala View More... Jicho letu mahakamani: ‘Kina Zombe wakinyamaza, wakijitetea wana hatia-59 Katika sehemu ya 55 hadi 58 ya simulizi hii ya kesi ya mauaji, tuliona mawakili wa washtakiwa wakiwasilisha hoja zao kuishawishi Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, kuwa washtakiwa hawakuwa na... Kesi ya uhaini 1985: Meja Jenerali Mayunga atoa ushahidi -51 Shahidi wa 56 upande wa mashtaka, Meja Jenerali Silasi Mayunga aliiambia Mahakama Kuu kwamba...... Kesi ya uhaini 1985: Ubishi wa kisheria wazuka mahakamani, kesi yaahirishwa -50 Jicho letu mahakamani: Wakili alivyowapambania washtakiwa waliotoboa siri ya mauaji-58 Ng’enda awaonya wabunge kurushiana maneno Makamba awatuliza wabunge wanaorushiana makombora Bulaya ataka marekebisho ya sheria ya kikokotoo Mbunge Hasunga aitaka Serikali kuwaongezea mshahara watumishi wa umma SIASA View More... Mbowe atema nyongo Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe jana alitema nyongo baada ya kuwa kimya kwa zaidi ya miezi minne, akisema alikuwa nchi za nje kwa shughuli za biashara. Mbunge CCM akataa majibu ya Serikali bungeni Mbunge wa Mbogwe (CCM), Nicodemus Maganga ameyakataa majibu ya Serikali bungeni kuwa katika...... Musukuma adai usomi wa Profesa Muhongo hauna faida kwa Tanzania Dovutwa aibuka, amwagia sifa Rais Samia Mzee Mwinyi amsifu Rais Samia akisema ameanza vizuri Spika Ndugai amtaja Mbowe akidai ripoti ya CAG inapotoshwa Mbowe amwandikia barua Rais Samia akitaka mwanzo mpya Zitto ataja maeneo 10 ripoti ya CAG akitaka Serikali ichukue hatua za haraka Biashara View More... ‘Msitumie Mwezi wa Ramadhani kujinufaisha’ Wafanyabiashara mkoani Lindi ,wametakiwa kutokutumia mwezi mtukufu wa Ramadhani ulioanza leo, kupandisha bei kwa lengo la kutaka kupata faida kubwa kwakuwa kwa kufanya hivyo ni kuwaumiza... Sahara Tanzania yaongeza hifadhi ya mafuta Kampuni ya Sahara Tanzania Limited imeongeza ujazo wa hifadhi yake ya mafuta kufikia lita...... Mkutano kujadili kuongeza watumiaji wa bima nchini waja Serikali ya Tanzania yakamilisha malipo ya ndege tatu Serikali yaeleza mikakati kukabiliana upungufu mafuta ya kula Serikali yaeleza msimamo wake uwanja wa Kia Mradi wa bomba la mafuta kuanza Aprili mwaka huu TPDC yataja fursa kwa Watanzania mradi bomba la mafuta Maoni na Uchambuzi View More... Simba mnaweza kucheza nusu fainali Mabingwa wa soka nchini, Simba wamewasili nchini juzi jioni baada ya kutoka katika mchezo wao wa mwisho wa Kundi A wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly, uliofanyika nchini Misri. Naamini Rais Samia atatibu majeraha ya Taifa Vifo na michezo ni miongoni mwa matukio yanayoelezwa kuwaunganisha watu na kusahau tofauti zao...... Tushirikiane kuzuia dawa za kulevya nchini Rais Samia sikia kilio chetu sisi Twea, tunaomba huruma yako Tunashindwa wapi kudhibiti vifungashio? Tamko la Rais Samia fursa mpya kuvutia uwekezaji nchini Anachokaje sasa! Si tulikubaliana tunawasisimua mwanzo mwisho SIMANZI YA KUACHIKA YAWEZA KUKUPA UGONJWA WA MOYO Michezo Burudani View More... UEFA kuondoa sheria ya bao la ugenini Chama cha Soka Ulaya (UEFA) kinapanga kufanya mabadiliko makubwa katika sheria ya bao la ugenini katika michuano yake kuanzia msimu ujao. Mashabiki Man City, Spurs kupimwa corona mara tatu Mashabiki watakaotaka kuingia uwanjani kuona mechi ya fainali ya Kombe la Ligi Aprili 25 kati...... Wachezaji 25 Azam wawafuata JKT Tanzania Mfaransa wa Yanga awawahi Biashara fasta Dar Chelsea yatinga nusu fainali Ulaya kwa mara ya kwanza tangu 2014 PSG yaivua ubingwa Bayern ikikubali kipigo finyu Durant afunga pointi 31 Nets ikiizamisha Timberwolves NBA Son awavuruga Mourinho, Solskjaer Picha Photo gallery Simba Sc VS Mtibwa Sugar Photo gallery Bungeni Dodoma leo advertisement Photo gallery Uzinduzi wa huduma ya Bima Kidijitali