PRIME Unachopaswa kujua kuhusu chakula kilichoongezwa virutubishi Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limesema mchele ulioongezwa virutubishi, maharage na mafuta ya kupikia vilivyotolewa msaada na Wizara ya Kilimo ya Marekani, ni salama kwa matumizi ya binadamu.
VIDEO: Adha ya daraja inavyowatesa wakazi Pwani, Dar Daraja hilo linategemewa hasa na wananchi wa kata ya Pangani ambao hununua mahitaji yao upande wa Kibwegere jijini Dar es Salaam.
Rais Samia amteua bosi mpya AICC kutoka Kadco Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Christine Mwakatobe kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Arusha (AICC).
Mifumo minne ya kimataifa ilivyoongeza ufanisi JNIA TAA yajipanga pia kupeleka huduma ya mifumo hiyo KIA na Dodoma.
Halmashauri Same yapewa miezi sita kuboresha masoko DC Same asema mazingira bora yataongeza ukusanyaji mapato.
Wadau walia na adhabu ya viboko shuleni Wasema matumizi ya viboko shuleni hayajengi urafiki baina ya mwalimu na mwanafunzi badala yake yanaandaa jamii ambayo itakuwa na kisasi.
Rufaa kesi ya Gekul yapigwa kalenda Ni rufaa ya jinai namba 577 ya mwaka 2024, kuhusu shambulio la kudhuru mwili, linalomhusu Pauline Gekul, akituhumiwa kumfanyia ukatili Hashim Ally.
Spika Zubeir ahimiza uhusiano wa kibiashara unaoheshimu imani za kidini Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Zubeir Ali Maulid ameyahimiza mashirika, taasisi na biashara binafsi kutambua umuhimu wa kukuza uhusiano wa kibiashara na utoaji wa huduma unaoheshimu na...
Rais kusikiliza kero za wananchi sawa, lakini… Alikuwa akizungumza na waandishi wa habari wiki iliyopita jijini Dar es Salaam. Akasema utaratibu huo utakuwa ukifanyika katika Ofisi ya Chama (CCM), Lumumba Dar es Salaam, Dodoma au Zanzibar...
PRIME Kitendawili cha pombe, sigara kwenye mfumuko wa bei Wakati mfumuko wa bei wa jumla ukishuka kutoka asilimia 4.9 Januari 2023 hadi asilimia tatu Januari 2024, hali haikuwa hivyo kwa bidhaa za pombe na sigara.
Ishu ya majeraha ya Pacome, Aucho iko hivi Wakati mashabiki wa Yanga wakizidi kuwa na presha baada ya kuumia kwa wachezaji wao imefahamika ripoti ya wachezaji hao wawili walioumia kwenye mchezo dhidi ya Azam, kiungo Pacome Zouzoua na beki...
Rais Samia atazame sanaa, na wasanii wa mikoani Katika makala ya leo nitaanza tofauti kidogo, nitaanze na wasifu wangu mwenyewe. Nilipanda jukwaani kupiga muziki kwa mara ya kwanza mwaka 1969, nikiwa na wenzangu akina Iddi Mwanahewa, John...
Uteuzi huu Udart, Dart ulete manufaa Miongoni mwa uteuzi alioufanya Rais Samia Suluhu Hassan mwishoni mwa wiki, ni wa Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Mabasi Yaendayo Haraka (UDART), Waziri Kindamba.
Wanywaji wa ‘Energy’ mnalijua hili? Kama unapenda kunywa kinywaji cha kuongeza nguvu, maarufu kama 'Energy drink' unatakiwa kufikiri upya.