Tanroads yataja chanzo maji kupita juu ya daraja jijini Mwanza
Wakazi wa jijini Mwanza wanaotumia barabara ya Kenyatta inayotoka Mwanza mjini na kupita Kata za Mkuyuni, Butimba, Nyegezi, Mkolani na Buhongwa wamelazimika kusimama kwenye foleni zaidi ya masaa...