Muswada wa Sheria ya Fedha ya mwaka 2022 unaoanza kujadiliwa leo umependekeza faini ya Sh100,000 kwa kampuni itakayoshindwa kuwasilisha taarifa za wamiliki wanufaika au kuwasilisha ritani.
Chadema imewawekea pingamizi akina Mdee katika maombi yao, ya amri ya muda ya mahakama kuizuia Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na Spika wa Bunge...
Katika kuhakikisha mimba shuleni zinakomeshwa, wabunge vijana wameiomba serikali kutenga sehemu za siri kwa ajili ya kuchukua kondomu na dawa za...
Mtu mmoja amefariki dunia na wengine kunusurika katika ajali baada ya roli lililobeba shehena za mizigo likielekea mkoani Dar es Salaam...
Serikali imepunguza tozo ya ving’amuzi nchini kufikia Sh500 hadi Sh2000 kwa kadri ya matumizi ya mteja baada ya majadiliano na Kamati ya Bunge ya...