Baa ya La Chaaz yateketea kwa moto Dar Baa ya La Chaaz Lounge iliyopo Sinza Mori wilayani Kinondoni Mkoa wa Dar es Salaam imeteketea kwa moto leo jioni Ijumaa Machi 5, 2021. Halmashauri Moshi yapiga marufuku mbege kuuzwa baa Halmashauri ya Wilaya ya Moshi imepiga marufuku baa zinazouza mbege kufunguliwa pamoja na kupika chakula kwenye misiba. Serikali yaombwa kurejesha nchini mafuvu ya kale yaliyopo Ujerumani Serikali imeshauriwa kutoa tamko kuhusu kurejeshwa nchini Tanzania kwa vifaa vya utamaduni yakiwemo mafuvu yaliyopo nchini Ujerumani kwa... Wanafunzi 24 Ilemela wakatisha masomo baada ya kupata mimba Takwimu zilizotolewa na Jeshi la Polisi mkoani Mwanza zinaeleza kuwa mwaka 2020 wanafunzi 24 wa shule za sekondari wilayani Ilemela wameacha... Madaktari bingwa waliofariki Arusha kizikwa Marangu na Njombe Madaktari bingwa wawili waliofariki mapema wiki hii wanatarajiwa kuzikwa Marangu mkoani Kilimanjaro na Njombe. Kitaifa Polisi wazungumzia msako anayedaiwa kumuua mama na mwanaye Kitaifa Chadema wataka wananchi kuendelea kujikinga na magonjwa ya mlipuko Kitaifa Profesa Mkumbo: Wanawake tumieni fursa mikoani Kitaifa Mpanju ajivunia utendaji wa RITA Kitaifa Wabunge EAC walia corona kuathiri shughuli zao, waendelea na mikutano kwa mtandao Kitaifa Utafiti kubaini vivutio vya utalii kufanyika mikoa ya Kanda ya Ziwa Kitaifa Mbwa wanavyomfariji Malkia Elizabeth II Barbro Johansson ni shule inayomsaidia mwanafunzi kufikia uwezo wake wa juu kitaaluma Room to Read Tanzania inalinda ustawi na haki za mtoto wa kike kupitia elimu Ushirikiano kwa vitendo: Umoja wa Ulaya Tanzania unaadhimisha siku ya kimataifa ya kutokomeza umaskini Maoni na Uchambuzi UCHAMBUZI: Kiswahili kinaweza kuwa Lingua Franka ya dunia Maoni na Uchambuzi UCHAMBUZI: Shule zetu zinavyoshindwa kuzalisha kina Mkapa wengi Maoni na Uchambuzi UCHAMBUZI: Coastal Union ni mfano bora wa kuigwa Ligi Kuu Maoni na Uchambuzi UCHAMBUZI: Wachezaji wetu watumie vema mapumziko ya corona kujifua Mwananchi Video video SIMULIZI ZA MWANANCHI: SHUHUDIA NYOKA ATOLEWA MDOMONI AKIWA MZIMA video MAGUFULI AIKUBALI 'BABA' YA Stamina ft Profesa Jay advertisement video MTOTO MWENYE KIPAJI AFUNGUKA UWEZO WAKE//MAMA ASIMULIA ALIVYOPIGWA NA NDUGU ZAKE Habari Zaidi Biashara Makala View More... Dk Bashiru ateuliwa kuwa balozi, katibu mkuu kiongozi Rais John Magufuli amemteua katibu mkuu wa CCM, Dk Bashiru Ally kuwa katibu mkuu kiongozi kuchukua nafasi ya Balozi John Kijazi aliyefariki dunia Februari 17, 2021. KONA YA WASTAAFU: Baada ya utumishi uliotukuka usiokuwa na utukutu...! Naam, sasa mhenga wetu ni mstaafu. Baada ya miaka 40 ya ratiba ya kutoka nyumbani saa 12:30...... Madiwani Handeni mji wagoma kupitisha rasimu ya bajeti Seuwasa waanza oparesheni nyumba kwa nyumba kubaini wezi wa maji Sengerema Mpanju ajivunia utendaji wa RITA Baa ya La Chaaz yateketea kwa moto Dar Halmashauri Moshi yapiga marufuku mbege kuuzwa baa Wanafunzi 24 Ilemela wakatisha masomo baada ya kupata mimba SIASA View More... Kwa nini Maalim Seif alipendwa? Nimepata wakati mgumu kuandika hii makala juu ya Maalim Seif. Kwa hakika ni vigumu sana kujaribu kufupisha maisha ya Maalim Seif katika dakika chache, lakini kwa vile nimeulizwa na watu... BBI inavyoongeza fukuto la uchaguzi mkuu Kenya Mbio za uchaguzi mkuu wa Kenya unaotarajiwa kufanyika mwaka 2022 zimezidi kupamba moto nchini...... Prof. Lipumba: Maalim Seif alinifundisha siasa za Zanzibar zinazoelezeka, zisizoelezeka Mrithi wa Maalim Seif huyu hapa Zena Said afichua siri safari yake ya uongozi Safari ya miaka 81 ya Harith Bakari Mwapachu Mnigeria akaribia kuweka historia WTO DC aliyekimbia vurugu Burundi 2015 asimulia adha ya kuwa mkimbizi Biashara View More... Stendi mpya ya Mbezi itakavyofungua fursa lukuki za kiuchumi Wakati stendi ya kisasa ya mabasi ya mikoani iliyopo Mbezi Luis, jijini Dar es Salaam yenye thamani ya Sh50.9 bilioni ikitarajiwa kuanza kazi leo, uwepo wake unatazamiwa kuchochea fursa mpya za... Kiwanda chasimamisha uzalishaji, wakulima wa muhogo walia Wakulima wa zao la muhogo wamesema wanapata hasara kutokana na Kiwanda cha kusindika zao la...... Biteko aipongeza Barrick Serikali yaeleza ilivyodhibiti sukari kuingia Tanzania kiholela Mfumo mpya wa kutuma fedha kwa simu kuanza Julai Madini ya Tanzanite yanavyovutia mauzo ya bidhaa sokoni Serikali yaeleza ilivyodhibiti sukari kuingia Tanzania kiholela Wafanyabiashara 600 wamefunga biashara Geita Maoni na Uchambuzi View More... Utapeli wa fedha mitandaoni ufike mwisho Katika gazeti la Mwananchi la jana tuliandika kwa kirefu kuendelea kukithiri kwa vitendo vya utapeli wa fedha kwa njia ya simu na umma uliamini baada ya usajili wa laini za simu kwa alama za... Rais Magufuli kasema, mnasubiri nini kuvaa barakoa? Rais John Magufuli na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kwa nyakati tofauti wamevunja ukimya kuhusu...... Zindiko la Magufuli si hirizi, talasim wala tunguri ANTI BETTIE: Status ya WhatsApp inahatarisha ndoa yangu ANTI BETTIE: Mke wangu muongo, mchonganishi hadi anatia kinyaa Muda wa dirisha dogo utendewe haki Sven amewapa makocha wetu mambo matatu Ngumi za ridhaa zirudishe uhalisia Michezo Burudani View More... Bocco: Tumejipanga vizuri kushinda kesho Nahodha wa Simba, John Bocco amesema morali na hali ya ushindani katika kambi yao ipo juu wanasubiri tu muda wa mechi uweze kufika ili kuipigania timu. Gomes atoa sababu za kuwaacha akina Morrison Kocha wa Simba, Didier Gomes amewacha wachezaji watano Dar es Salaam kutokana na sababu...... Magori: Tukifanikiwa tutaongoza kundi Wachezaji Simba wapita wote vipimo vya covid 19 Vigogo Ahly katika kiti moto Afrika Coastal Union yasitisha ubabe wa Yanga Ubabe Mkwakwani Makomandoo wazichapa Simba wapimwa corona, kuanza mazoezi mchana Picha Photo gallery Uapisho wa Katibu Mkuu Kiongozi ,Balozi Bashiru Ally Photo gallery Mwananchi Digital yashinda tuzo advertisement Photo gallery ZIARA YA RAIS JOHN MAGUFULI DAR