YANGA wametamba kwamba kwa usajili waliofunga nao dirisha dogo hakuna wa kuwazuia kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara na Kombe la FA.
Mwili wa msanii wa muziki kizazi kipya Ilunga Khalifa 'Cpwaa' utazikwa leo saa 10 jioni jijini Dar es Salaam.
Sakata la ukweli kuhusu baba mzazi wa msanii Diamond Platnumz linaendelea kuteka masikio ya watu ambapo sasa Abdul Juma Issac anayeelezwa kuwa...
Msanii wa Bongo fleva, Ilunga Khalifa maarufu C-Pwaa hatunaye tena amefariki dunia na atazikwa leo jioni Jumapili Januari 17, 2021.
Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Ilunga Khalifa maarufu C-Pwaa amefariki dunia usiku wa kuamka leo Jumapili Januari 17, 2021.