Search

70 results for Shaba Njia :

  1. Trilioni za makinikia pasua kichwa

    Swali la Mbunge wa Kisesa (CCM), Luhaga Mpina limewasha upya moto wa ahadi ya malipo ya mabilioni ya shilingi kutokana na malimbikizo ya kodi kutoka kampuni ya Barrick Gold.

  2. Leseni 439 za uchimbaji wa madini zatelekezwa Simiyu

    Leseni 439 za uchimbaji wa madini mkoani Simiyu zimetelekezwa na waombaji waliofanya maombi kwa njia ya mtandao baada ya kushindwa kukamilisha ufuatiliaji na kulipia ada.

  3. MAHOJIANO MAALUMU: Serikali kuja na ‘kifurushi’ cha gesi ya kupikia

    Katika kuhamasisha matumizi ya gesi ya kupikia, Waziri wa Nishati, January Makamba amesema Serikali inakamilisha utaratibu wa kumruhusu mteja kuinunua kwa bei ndogo kulingana na mahitaji yake.

  4. Misukosuko ya safari ya kusaka demokrasia visiwani Zanzibar

    Baada ya majadiliano ya karibu miaka 10 wafanikiwa kuunda ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa

  5. Mwaipaya kufikishwa mahakamani

    Polisi Mkoani Dodoma wanatarajia kumfikisha Mahakamani Mratibu wa uhamasishaji wa Baraza la vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Twaha Mwaipaya.

  6. Nchi 19 kushiriki mbio za Uhuru Peak Challenge 2022 Moshi

    Wakimbiaji wa kimataifa 21 kutoka nchi 19 duniani wanashiriki katika mbio za Uhuru Peak Challenge 2022 katika milima Kilimanjaro.

  7. Majaliwa kufungua maadhimisho ya utafiti, ubunifu UDSM

    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa anatarajia kuwa mgeni katika ufunguzi wa maadhimisho ya saba ya wiki ya utafiti na ubunifu ya Chuo Kikuu cha Dar es salaam (UDSM) yatakayofanyika Mei 24 hadi 26, mwaka...

  8. Mke wa dereva aliyetekwa Zambia akaishia gerezani aeleza mkasa wote

    Kuishi kwingi kuona mengi, ndivyo unavyoweza kusema juu ya mkasa uliompata dereva wa lori, Kennedy Mkonyi ambaye alitekwa Zambia Desemba 2020 na kuishia gerezani hadi hivi sasa akisubiri hatima ya...

  9. Unyama wanaofanyiwa madereva wa malori

    Madereva wa malori nchini wamelalamikia hali ya usalama wao katika nchi jirani za Zambia na Jamhuri ya Kidemokrasia Congo (DRC) wakiitaka Serikali iingilie kati kukomesha “unyama” wanaodai...

  10. Ummy azibana halmashauri 11 akizipa wiki mbili kutoa maelezo

    Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Ummy Mwalimu amezitaka halmashauri 11 nchini ndani ya siku 14 kutoa maelezo kwa katibu mkuu wa ofisi yake kwa nini...

Previous

Page 2 of 7

Next