Kimbunga Hidaya chakata mawasiliano mikoa ya Kusini- Dar “Uharibu ni mkubwa hatuwezi kurekebisha kwa kipindi kifupi. Tumeshauri watu wasitishe safari au wazunguke Songea (mkoani Ruvuma) kama ni dharura ili wasije kuathirika. Ni vema watu wa Lindi...
Safari za baharini zarejea kimbunga Hidaya kikipoteza nguvu "Tulikuwa bado tunaangalia hali ikoje lakini kwa sasa tumeona imetulia na tumeruhusu safari ziendelee kama kawaida, kwa hiyo kuna boti inaenda Dar es Salaam na meli inaondoka kwenda Pemba," amesema.
PRIME Faida, hasara kwa wanandoa kuchunguzana Daktari bingwa wa uzazi na wanawake, Abdul Mkeyenge anasema kuna vitu vingi kwenye uhusiano ambavyo kama wanandoa wasipokuwa makini ni changamoto hata kwenye afya ya uzazi
MOI yathibitisha kifo cha 'Director' Khalfani Taasisi ya Mifupa na Mishipa ya Fahamu Muhimbili (MOI) imethibitisha kifo cha muongozaji wa video za muziki nchini Tanzania, maarufu ‘Director Khalfani Khalmandro’.
Madiwani CCM, maofisa ushirika wadakwa wakidaiwa kuuza tumbaku kwa kangomba Akihitimisha hoja ya makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Kilimo kwa mwaka 2024/25 jana usiku Ijumaa, Mei 3, 2024, Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amesema alimshukuru mkuu wa Mkoa wa...
Ni mkesha wa nderemo, vifijo ikisubiriwa ACT- Wazalendo izaliwe ACT- Wazalendo ilizaliwa Mei 5, 2014 na usiku wa kuamkia kesho Jumapili kitatimiza muongo mmoja wa tangu kuzaliwa kwake
Kimbunga Hidaya chakata mawasiliano mikoa ya Kusini- Dar “Uharibu ni mkubwa hatuwezi kurekebisha kwa kipindi kifupi. Tumeshauri watu wasitishe safari au wazunguke Songea (mkoani Ruvuma) kama ni dharura ili wasije kuathirika. Ni vema watu wa Lindi...
Wasichana wapewa mbinu kumudu masomo ya sayansi Kikubwa kinachoangaliwa ni kubuni na kutengeneza mifumo inayotatua changamoto za jamii
Miaka 20 ya Poland ndani ya Umoja wa Ulaya Leo, Mei Mosi, Poland inaadhimisha miaka 20 tangu ilipojiunga na Umoja wa Ulaya (EU) mwaka 2004. Kipindi hicho, ilipokea kundi kubwa la nchi 10 za Ulaya Mashariki na Kati, ikiwemo Poland ambazo...
Uzalishaji korosho wapaa, sababu zatajwa Louis Kolumbia, Mwananchi [email protected] Dar es Salaam. Uzalishaji wa korosho umepanda kwa tani 115,900, kutoka 189,114 zilizozalishwa msimu wa 2022/23 hadi tani 305,014 katika...
Ratiba ya Ligi Kuu ilivyokuwa shubiri kwa ‘vibonde’ Timu nne zinazoshika mkia kwenye msimamo wa ligi zinakabiliwa na mechi za mtego za kumalizia msimu ambazo zinalazimisha kila moja kuchanga vyema karata zake ili iweze kukwepa janga la kushuka...
MOI yathibitisha kifo cha 'Director' Khalfani Taasisi ya Mifupa na Mishipa ya Fahamu Muhimbili (MOI) imethibitisha kifo cha muongozaji wa video za muziki nchini Tanzania, maarufu ‘Director Khalfani Khalmandro’.
Uhuru wa habari ni wajibu wa kila mdau Leo ni Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani, ambayo huadhimishwa Mei 3, kila mwaka. Katika siku hii, wadau wanapata nafasi ya kutafakari umuhimu wa tasnia ya habari katika kuchochea uhuru...
Mpenzi wako ana hasira? Fanya haya… Katika mahusiano ya aina yoyote, hakuna anayeweza kusema hajawahi kukasirika. Mara kwa mara tunakwazana na kukasirishana, ingawa wako wale ambao hasira yao iko karibu zaidi na huja kwa ukali...