PRIME Shekilango alivyofariki katikati ya misheni maalumu Uganda Jumapili ya Novemba 9, 1975, mara baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka huo, Rais Julius Nyerere alitangaza Baraza jipya la Mawaziri lililokuwa na wizara mbili mpya ambazo ni Wizara ya Sheria na Wizara...
Mvua zazamisha kisiwa Musoma, Serikali yahamishia wakazi kisiwa jirani Kisiwa hicho kimezama kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha, ingawa hadi sasa hakuna madhara kwa binadamu zaidi ya nyumba za makazi kuzama ziwani.
PRIME Mashimo ya viraka barabarani yawatesa madereva Barabara inapokatwa kwa ajili ya kuwekwa kiraka, utekelezaji wake unapaswa kufanyika kwa muda usiozidi saa 48.
PRIME Wabunge wabainisha kasoro ubora wa elimu, wapendekeza njia za kuweka sawa Wabunge wameichangia bajeti ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia nchini Tanzania wakionyesha kinachochangia kushusha ubora wa elimu nchini na kupendekeza kipi cha kufanyika.
Vaa hadi wakushangae; Mtoko wa usiku Met Gala ulivyobamba Tamasha la mitindo la Met Gala kwa mwaka 2024 lilifanyika kwenye Ukumbi wa Makumbusho ya Sanaa ya Metropolitan huko New York, ambako yamekuwa yakifanyika kila mwaka.
PRIME Dk Ndugulile kupeperusha bendera ya Tanzania WHO Vyanzo vya habari kutoka Wizara ya Afya vililiambia Mwananchi kuwa Dk Ndugulile, ambaye aliwahi kuwa Naibu Waziri wa Afya, ndiye atakayeshindanishwa na wagombea wengine kutoka nchi nyingine...
PRIME Shekilango alivyofariki katikati ya misheni maalumu Uganda Jumapili ya Novemba 9, 1975, mara baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka huo, Rais Julius Nyerere alitangaza Baraza jipya la Mawaziri lililokuwa na wizara mbili mpya ambazo ni Wizara ya Sheria na Wizara...
Wasichana wapewa mbinu kumudu masomo ya sayansi Kikubwa kinachoangaliwa ni kubuni na kutengeneza mifumo inayotatua changamoto za jamii
Miaka 20 ya Poland ndani ya Umoja wa Ulaya Leo, Mei Mosi, Poland inaadhimisha miaka 20 tangu ilipojiunga na Umoja wa Ulaya (EU) mwaka 2004. Kipindi hicho, ilipokea kundi kubwa la nchi 10 za Ulaya Mashariki na Kati, ikiwemo Poland ambazo...
Uzalishaji korosho wapaa, sababu zatajwa Louis Kolumbia, Mwananchi [email protected] Dar es Salaam. Uzalishaji wa korosho umepanda kwa tani 115,900, kutoka 189,114 zilizozalishwa msimu wa 2022/23 hadi tani 305,014 katika...
Refa wa Mamelodi, Yanga apewa fainali Ligi ya Mabingwa Afrika Dar es Salaam. Refa Beida Dahane ameteuliwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika kusimamia teknolojia ya video ya usaidizi kwa marefa (VAR) katika mechi ya kwanza ya fainali ya Ligi ya Mabingwa...
Akili bandia yatumika kudanganya uwepo wa Rihanna 'Met Gala' Baada ya kuripotiwa kuwa mwanamuziki Rihanna hakuweza kuhudhuria katika tamasha la mitindo la ‘Met Gala’ lililofanyika nchini Marekani, baadhi ya watu wametengeneza picha ‘feki’ za msanii huyo...
Uhuru wa habari ni wajibu wa kila mdau Leo ni Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani, ambayo huadhimishwa Mei 3, kila mwaka. Katika siku hii, wadau wanapata nafasi ya kutafakari umuhimu wa tasnia ya habari katika kuchochea uhuru...
Mpenzi wako ana hasira? Fanya haya… Katika mahusiano ya aina yoyote, hakuna anayeweza kusema hajawahi kukasirika. Mara kwa mara tunakwazana na kukasirishana, ingawa wako wale ambao hasira yao iko karibu zaidi na huja kwa ukali...