Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Dodoma. Rais Samia Suluhu Hassan anatimiza mwaka mmoja tangu achukue madaraka ya nchi, pamoja na maendeleo aliyoyasimamia amebainisha mikakati yake muhimu katika kuijenga nchi.

Akizungumza kwenye mahojiano hayo yaliyoongozwa na Bakari Machumu, Mkurugenzi Mtendaji wa Mwananchi Communications Ltd - wachapishaji wa magazeti ya Mwananchi, The Citizen, Mwanaspoti na Mwananchi Digital, Rais vilevile aliyataja mambo yaliyompa matumaini katika kuiongoza nchi kuwa ni uzoefu wake serikalini, ndani ya CCM na uwezo wa kujieleza kwa Watanzania.