Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

πŸ”΄ #LIVE: MIAKA MITANO YA NYUMBA NI CHOO

πŸ”΄ #LIVE: MIAKA MITANO YA NYUMBA NI CHOO

Muktasari:

Leo Jumatatu Aprili 11, 2022 ni kilele cha maadhimisho ya miaka mitano ya kampeni ya Nyumba ni Choo ambayo inafanyika jijini Dar es salaam katika ukumbi wa Kivukoni Serena Hotel. Wadau mbalimbali wa usafi wa mazingira wamekutana kujadili utekelezaji wa kampeni hiyo na kuweka mipango mipya.

Leo Jumatatu Aprili 11, 2022 ni kilele cha maadhimisho ya miaka mitano ya kampeni ya Nyumba ni Choo ambayo inafanyika jijini Dar es salaam katika ukumbi wa Kivukoni Serena Hotel. Wadau mbalimbali wa usafi wa mazingira wamekutana kujadili utekelezaji wa kampeni hiyo na kuweka mipango mipya.