#LIVE: Uwasilishwaji wa Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2023/2024

#LIVE: Uwasilishwaji wa Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2023/2024

Muktasari:

Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Mwigulu Nchemba leo Alhamisi anawasilisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2023/2024 bungeni jijini Dodoma

Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Mwigulu Nchemba leo Alhamisi anawasilisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2023/2024 bungeni jijini Dodoma