Jengua afariki dunia

Jengua afariki dunia

Muktasari:

Muigizaji wa filamu Tanzania,   mzee Jengua amefariki dunia leo Jumanne Desemba 15, 2020  Mkuranga mkoani Pwani.

Muigizaji wa filamu Tanzania,   mzee Jengua amefariki dunia leo Jumanne Desemba 15, 2020  Mkuranga mkoani Pwani.

Taarifa iliyotolewa na katibu wa chama cha waigizaji Mkoa wa Dar es Salaam, Doricy Kente inaeleza kuwa mke wa msanii huyo amethibitisha kifo hicho.

Endelea kufuatilia Mwananchi Digital kwa taarifa zaidi