Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Mahakama yaamuru kesi ya Lissu isirushwe 'Live'

Mwenyekiti ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu akizungumza na mawakili wake katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Picha na Mtandao

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imeamuru kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, isirushwe moja kwa moja kama ilivyokuwa awali.

Uamuzi huo umetolewa leo Jumatatu, Agosti 18, 2025 na Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama hiyo, Francisco Kiswaga, kwa kile alichoeleza kuwa haki ya mashahidi wanaopaswa kulindwa bila kufanya hivyo watajukikana.


Endelea kufuatilia Mwananchi