Mama na mwanaye wakutwa wamekufa gesti

Mama na mwanaye wakutwa wamekufa gesti

Muktasari:

  • Irene Lyimo(21) mkazi wa  kata ya Kilema  Kaskazini Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro na mwanaye wa mwaka mmoja wamekutwa wamekufa katika nyumba ya kulala wageni, kaimu kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Ronald Makona amethibitisha.

Irene Lyimo (21) mkazi wa  kata ya Kilema  Kaskazini Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro na mwanaye wa mwaka mmoja wamekutwa wamekufa katika nyumba ya kulala wageni, kaimu kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Ronald Makona amethibitisha.

Endelea kufuatilia Mwananchi kwa taarifa zaidi