Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Mapadri 25, watawa 60 wafariki dunia ndani ya siku 60

Mapadri 25, watawa 60 wafariki dunia ndani ya siku 60

Muktasari:

  • Katibu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC),  Padri Charles Kitima amesema kuanzia Desemba 2020 hadi Februari 2021 mapadri zaidi ya 25, watawa zaidi  ya 60 na wenyeviti wawili wa Baraza la Walei wamefariki dunia kwa sababu mbalimbali ikiwemo changamoto ya upumuaji.

Dar es Salaam. Katibu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC),  Padri Charles Kitima amesema kuanzia Desemba 2020 hadi Februari 2021 mapadri zaidi ya 25, watawa zaidi  ya 60 na wenyeviti wawili wa Baraza la Walei wamefariki dunia kwa sababu mbalimbali ikiwemo changamoto ya upumuaji.

Endelea kufuatilia Mwananchi Digital kwa taarifa zaidi