Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Nani anayeruhusiwa kupiga kura

Muktasari:

Jumapili Watanzania watapiga kura kumchagua raia wa awamu ya tano, wabunge na madiwani. Watu wenye sifa pekee ndiyo wanaoruhusiwa kushiriki uchaguzi huo katika vituo 65,105 nchini kote. Wenye sifa zifuatazo wasikae majumbani bali wajitokeze vituoni na kupiga kura.

Dar es Salaam. Jumapili Watanzania watapiga kura kumchagua raia wa awamu ya tano, wabunge na madiwani. Watu wenye sifa pekee ndiyo wanaoruhusiwa kushiriki uchaguzi huo katika vituo 65,105 nchini kote. Wenye sifa zifuatazo wasikae majumbani bali wajitokeze vituoni na kupiga kura.

  • Raia yoyote wa Tanzania aliyetimiza umri wa miaka 18 ambaye ameandikishwa katika daftari la kudumu la wapiga kura na ana kadi ya kupigia kura, iliyotolewa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi.
  • Mkazi wa kawaida wa eneo analotaka kupiga kura.
  • Mtu ambaye jina lake limeorodheshwa katika daftari la kudumu la wapiga kura au orodha inayobandikwa katika kituo cha kupigia kura.