Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Royal Tour yatumia fedha za Watanzania

Muktasari:

  •  Rais Samia Suluhu Hassan, leo ametumia tukio la uzinduzi wa filamu ya ‘The Royal Tour’ kuwashukuru Watanzania waliotoa michango yao kuhakikisha utengezaji wa filamu hiyo unafanikiwa.


Arusha. Rais Samia Suluhu Hassan, leo ametumia tukio la uzinduzi wa filamu ya ‘The Royal Tour’ kuwashukuru Watanzania waliotoa michango yao kuhakikisha utengezaji wa filamu hiyo unafanikiwa.

Ameyasema hayo leo Alhamisi Aprili 28, 2022 Jijini Arusha katika uzinduzi wa Royal Tour.

Amesema kuwa kazi yote imefanywa kwa michango ya watanzania, hakuna fedha ya serikali iliyotumika.

“Pesa yote mpaka tumekwenda Marekani na kurudi ni pesa iliyochangwa na watanzania. Kwa hiyo kama tunazungumza the real star (mwigizaji halisi) katika hii filamu ni watanzania wote,”amesema Rais Samia.