Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Watu 48 waokolewa mafuriko Morogoro

Muktasari:

Kaimu kamanda Jeshi la Zimamoto na Uokoaji mkoani Morogoro, Emmanuel Ochieng amesema mpka sasa wameokoa watu 48 waliokuwa wamezingirwa na maji katika maeneo ya kata ya Kihonda kufuatia mvua zilizonyesha usiku wa kuamkia leo Ijumaa Januari 13, 2023.



Morogoro. Kaimu kamanda Jeshi la Zimamoto na Uokoaji mkoani Morogoro, Emmanuel Ochieng amesema mpka sasa wameokoa watu 48 waliokuwa wamezingirwa na maji katika maeneo ya kata ya Kihonda kufuatia mvua zilizonyesha usiku wa kuamkia leo Ijumaa Januari 13, 2023.

Ochieng Amesema watu hao kwa Sasa wamehifadhiwa ofisi ya kata ya Kwa ajili ya kupatiwa msaada wa chakula,malazi na mahitaji mengine.

Aidha amesema wananchi wakatakiwa kuchukua tahadhali kutokana na mvua hizo huku akiwataka wale waliochimba mashimo ya choo, takataka kuhakikisha wanayafukia ili yasiweze kuleta athari zaidi.

Watu 48 waokolewa mafuriko Morogoro