Picha MOTO WAUNGUZA SOKO LA TEGETA NYUKI Jumanne, Februari 18, 2020 — updated on Novemba 08, 2020 Moto ulionza kuwaka usiku wa kuamkia leo katika soko la matunda na nafaka Tegeta nyuki limeteketeza fremu 14 na vizimba 81. Photo: 1/4 View caption Photo: 2/4 View caption Jeshi la zimamoto mkoa wa kinondoni likiendelea na uzimaji wa moto katika soko la nataka na matunda tegeta nyuki. Photo: 3/4 View caption Wafanyabiashara wa nafaka katika soko la Tegeta nyuki wakijaribu kuchambua mabaki ya nafaka kutokana na moto uliowaka usiku wa kuamkia leo. Photo: 4/4 View caption Login to join the discussion Please enable JavaScript to view the comments powered by Disqus.
CCM Ruangwa: Majaliwa hatogombea tena ubunge Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa hatogombea tena ubunge wa Ruangwa, Mkoa wa Lindi katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 2025.
PRIME Kutoka mipango, mauaji mpaka askari kunyongwa– 2 Walitenda kosa hilo, Januari 5, 2022, katika Kituo cha Polisi Mitengo wilayani humo.
PRIME Kutoka mipango, mauaji hadi askari kunyongwa-1 Hukumu ya kesi ya mauaji ya mfanyabiashara wa madini yenye kurasa 60 na maneno zaidi ya 13,000 imejengwa juu ya ushahidi wa mashahidi 28 upande wa mashtaka, vielelezo 16 vya upande wa mashtaka...