Tatu Mohamed

Mwandishi wa gazeti la Mwananchi linalochapishwa na kampuni ya Mwananchi Communication Ltd (MCL) inayochapisha pia magazeti ya The Citizen na Mwanaspoti

Connect with Tatu Mohamed:

Tatu Mohamed ni Mwandishi wa gazeti la Mwananchi linalochapishwa na kampuni ya Mwananchi Communication Ltd (MCL) inayochapisha pia magazeti ya The Citizen na Mwanaspoti

Anaandikia kutoka Mkoa wa Dar es Salaam na amejikita katika kuandika habari za kijamii, kiuchumi na kisiasa.

Ana Stashahada ya Uandishi wa Habari

Kabla ya kujiunga na MCL alifanya kazi gazeti la TanzaniaDaima.