IGP Wambura afunguka mikakati mitatu, ataja haki
Mkuu mpya wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Camillus Wambura ametaja mikakati yake ambayo amesema atahakikisha inatekelezwa ikiwamo kuhakikisha uhalifu unakoma, maadili ndani ya Jeshi hilo na haki kwa wananchi.