Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (Latra), Habibu Suluo amesema hadi sasa wameshatoa vibali vya muda kwa zaidi ya mabasi 130 ili kutatua changamoto ya usafiri katika kipindi cha sikukuu.

Suluo amesema leo Jumamosi Desemba 24, 2022 baada ya kufanya ukaguzi katika kitua cha mabasi cha Magufuli Mbezi jijini Dar es Salaam.