Tucta walia na ubaguzi nyongeza ya mshahara
Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Nchini (Tucta) limeitaka Serikali kuangalia upya utaratibu wa kuongeza mishahara kwasababu kuna baadhi ya watumishi wa umma wamebaguliwa kwa kutopata nyongeza hiyo.
Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Nchini (Tucta) limeitaka Serikali kuangalia upya utaratibu wa kuongeza mishahara kwasababu kuna baadhi ya watumishi wa umma wamebaguliwa kwa kutopata nyongeza hiyo.