Mbunge wa Tarime Mjini, Esther Matiko akitoka kwenye ukumbi wa Bunge baada kuamriwa na Spika wa Bunge, Job Ndugai kutoka ukumbini kufuatia kupiga kelele wakati spika alipokuwa akitangaza madeni aliyonayo Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema, jijini Dodoma leo. Picha na Edwin Mjwahuzi