• Habari
  • Michezo
  • Picha
  • Video
  • Data
  • Toleo Maalum
  • Ajira
  • Notisi
  • Habari
    BiasharaMakala

    Latest Habari

    Ndege ya Tanzania iliyoshikiliwa Canada yatua Mwanza
    Marubani wa Tanzania kuwasili na Bombardier, Rais Magufuli kuwapa
    Asilimia 40 ya abiria wa ATCL wanatumia uwanja wa Mwanza
    Rais Magufuli azungumzia kuachiwa ndege ya Bombadier
  • Michezo
    Burudani

    Latest Michezo

    Bosi Simba kufyeka masalia ya Aussems
    Simba na Yanga ni nje tu; ndani kugumu
    Mesut Ozil alaumu ukimya kwa Waislamu wa China
    Buriani Mzee Akilimali wa Yanga, Kuzikwa kesho Tandale
  • Picha
  • Video
  • Data
  • Toleo Maalum
  • Ajira
  • Notisi
    Zabuni
  1. Mwanzo
  2. Picha

MATUKIO BUNGENI APRILI 3,2019

1/5
2/5
3/5
4/5
5/5
PREV NEXT


Mbunge wa Tarime Mjini, Esther Matiko akitoka kwenye ukumbi wa Bunge baada kuamriwa na Spika wa Bunge, Job Ndugai kutoka ukumbini kufuatia kupiga kelele wakati spika alipokuwa akitangaza madeni aliyonayo Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema, jijini Dodoma leo. Picha na Edwin Mjwahuzi


Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema (kushoto) akizungumza na wabunge wenzake wa kambi ya upinzani baada ya Spika wa Bunge, Job Ndugai kuagia mbunge huyo kuhojiwa na Kamati ya Bunge ya Maadili, jijini Dodoma leo. Picha na Edwin Mjwahuzi


Spika wa Bunge Job Ndugai akizungumza bungeni alipokuwa  akiagiza Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kumhoji Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema) Godbless Lema kuhusu uamuzi wake wa kuunga mkono kuwa bunge ni dhaifu huku akianika hadharani madeni ya mbunge huyo, jijini Dodoma leo. Picha na Edwin Mjwahuzi


Waziri wa Habari Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe akijibu swali bungeni kuhusu changamoto zilizopo katika kushughulikia kesi za matukio ya unyanyasaji wa watoto, jijini Dodoma leo. Picha na Edwin Mjwahuzi


Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola akijibu swali bungeni kuhusu hatua zinazochukuliwa na serikali kwa wanaume wanaotelekeza watoto wao hapa nchini, jijini Dodoma leo. Picha na Edwin Mjwahuzi

Tweets about @MwananchiNews
PremierBet Tanzania Usain Bonus
Habari Mpya
  • 1 Kitaifa Ndege ya Tanzania iliyoshikiliwa Canada yatua Mwanza
  • 2 Kitaifa Marubani wa Tanzania kuwasili na Bombardier, Rais Magufuli kuwapa fedha
  • 3 Kitaifa Asilimia 40 ya abiria wa ATCL wanatumia uwanja wa Mwanza
  • 4 Kitaifa Rais Magufuli azungumzia kuachiwa ndege ya Bombadier
  • 5 Kitaifa Serikali ya Tanzania kununua ndege kubwa ya mizigo
  • 6 Kitaifa ATCL yaokoa Sh590 milioni matengenezo ya Bombardier
  • 7 Kitaifa Profesa Kabudi ‘awananga’ wanaokamata ndege za Tanzania
  • 8 Toleo Maalum Ukeketaji na ndoa za utotoni ni janga linalohitaji nguvu za pamoja kulipinga
  • 9 Kimataifa Rais Omar al Bashir ahukumiwa miaka miwili
  • 10 Kitaifa LIVE: NDEGE ILIYOKUWA IKISHIKILIWA CANADA(BOMBADIER Q-400) YATUA , RAIS
  • Mwanzo
    Mwanzo KONA YA MAKENGEZA : Tamba katika kutumbua
  • Mwanzo
    Mwanzo DARUBINI YA MTATIRO : Tunayo mahakama huru inayotenda haki?
  • Mwanzo
    Mwanzo MTAZAMO WANGU : Sakata la uhaba wa Sukari, hongera JPM lakini…
  • Mwanzo
    Mwanzo HOJA BINAFSI : Saikolojia ya kujiamini ilivyoipa Leicester City ubingwa ligi ya Uingereza
  • Mwanzo
    Mwanzo KONA YA MAKENGEZA : Uamuzi wa Bunge bangua bongo
  • Habari

    Biashara Makala

    Michezo

    Burudani

    Picha

    Video

    Data

    Toleo Maalum

    Ajira

    Notisi

    Zabuni
    Mwananchi
    Apps
    • Play Store

    • App Store
    Information
    • Privacy Policy
    • Wasiliana nasi
    • Web Mail
    • Epaper
    • MCL
    • MCL Corporate
    NMG Sites
    • MCL Blog
    • Daily Nation
    • NTV
    • Business Daily
    • The East African
    • Daily Monitor
    • KFM
    • Mwanaspoti
    • The Citizen
    • Nation Media Group
    Follow us

    Mwananchi

    ​