Serikali yapiga marufuku matangazo mubashara maandamano ya Gen ‘Z’ Kenya
Hatua hiyo imetangazwa leo Jumatano Juni 25, 2025, kupitia taarifa kwa umma ya Tume ya Mawasiliano Kenya (CAK), ikiwa ni saa chache tangu waandamanaji hao maarufu kama ‘Gen Z’ waingie mitaani...