PRIME Mkuranga kinara wizi wa shaba kwenye transfoma Wizi wa nyaya za shaba zilizo ndani ya transfoma zimelisababishia Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) hasara ya Sh700.5 milioni katika kipindi cha Januari hadi Desemba mwaka 2024 kufuatia...
HESLB yafungua dirisha la mikopo, waombaji kutambulika hivi Fedha hizo zitawanufaisha jumla ya wanafunzi 99,620 wa mwaka wa kwanza katika ngazi za diploma, shahada ya kwanza na shahada za uzamili.
Jeshi la Polisi lavunja ukimya matukio ya utekaji, mauaji Jeshi la Polisi limevunja ukimya kuhusu taarifa za matukio ya utekaji na mauaji likitoa ufafanuzi wa matukio kadhaa yaliyoripotiwa kwa nyakati tofauti huku uchunguzi ukibaini kuwa mengi yakiwa ya...
Majaliwa azindua chaneli yenye maudhui ya kitaaluma Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amezindua chaneli ya kwanza nchini (Somakwanza Tv) yenye maudhui ya kitaaluma, itakayorusha vipindi vya elimu kuanzia ngazi ya awali, msingi hadi sekondari kwa saa 24...
PRIME Rais Samia, Profesa Juma wampa mzigo Jaji Mkuu mpya Jaji Mkuu, Masaju amesema amepokea kijiti hicho akiahidi kuendelea alipoishia Profesa Juma kwa kuhakikisha wanatenda haki kwa watu wote bila kujali hali ya mtu kiuchumi na kijamii.
Hivi ndivyo unavyoweza kuadhimisha Siku ya Baba Kwa njia yoyote ile tunayochagua, jambo la msingi ni kuhakikisha tunamfanya baba ajisikie wa pekee na mwenye thamani.
Hizi hapa sifa za baba bora Utafiti uliochapishwa katika tovuti ya Psychology Today unaonyesha kuwa watoto ambao wapo karibu na baba zao wana hali ya kujiamini na wanaona wako salama na kadiri wanavyozidi kuwa wakubwa...
Nafuu ya kodi kwenye mitungi ya gesi yawakosha wadau Pendekezo la Serikali la kuondoa kodi ya ongezeko la thamani kwenye mitungi ya gesi ya kupikia imetajwa kama hatua muhimu katika kuhakikisha Watanzania wengi, hasa wasiokuwa na uwezo mkubwa...
PRIME Ina pande mbili kicheko, maumivu Ni bajeti ya kicheko na maumivu, hivi ndivyo inavyoweza kutafsiriwa kufuatia bajeti ya mwaka wa fedha 2025/2026 kuwa na pande mbili zinazowagusa wananchi.