Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

424 results for Ephrahim Bahemu :

  1. PRIME CAG Kichere afukua ‘uozo’ vyama vya siasa

    Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) imeibua madudu katika vyama vya siasa kwa kueleza kuwa baadhi ya vyama hivyo mali zake zimesajiliwa kwa majina binafsi, huku vingine...

  2. PRIME Bei ya mafuta: Nafuu kwa watumiaji, kilio kwa wazalishaji

    Katika siku za hivi karibuni, soko la mafuta duniani limejikuta kwenye mtikisiko mkubwa unaosababishwa na vuta nikuvute ya kisiasa kati ya mataifa makubwa, mabadiliko ya kiuchumi duniani, na...

  3. CAG: Tanzania haijapewa ardhi Uturuki, Kuwait

    CAG amesema Ibara ya 2 ya mkataba wa Vienna wa uhusiano wa kidiplomasia wa mwaka 1961 inahitaji kuwapo kwa makubaliano baina ya nchi mbili na utoaji huduma kwa uwiano sawa (reciprocity).

  4. CAG: Sh1.14 trilioni zilizokusanywa na TRA hazikupelekwa panapohusika

    Hata hivyo, Wizara ya Fedha ilihamisha Sh1.44 trilioni pekee kwenda mifuko hiyo husika, hivyo salio la Sh1.14 trilioni sawa na asilimia 44 ya jumla ya fedha zilizokusanywa, hazijapelekwa kwenye...

  5. Yalipo matumaini ya kuimarika kwa Shilingi

    Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imeeleza kuwa Shilingi ya Tanzania inatarajia kuimarika ifikapo mwishoni mwa waka huu kutokana na ongezeko la mapato ya fedha za kigeni linalotarajiwa kwa siku zijazo.

  6. Wataalamu wa masoko sasa hakuna haja ya kwenda London, Nairobi

    Chama cha Wataalamu wa Masoko Tanzania (TMSA) kimeingia makubaliano rasmi na Chuo cha Masoko cha Uingereza (CIM) kwa lengo la kutoa kozi za taaluma ya masoko zinazotambulika kimataifa, hatua...

  7. Tanzania yajipanga na ushuru mpya wa Trump

    Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imechukua hatua ya kulinda ukuaji wa uchumi ikiwa ni siku mbili baada ya Rais Marekani, Donald Trump kutangaza hali ya dharura ya kiuchumi nchini mwake iliyokwenda...

  8. PRIME Kwa nini ni hatari kwa nchi kutegemea sekta ya madini

    Ingawa madini yanaweza kuwa chanzo kikubwa cha mapato kwa serikali na wawekezaji, utegemezi wake kupita kiasi huleta hatari ya kuyumbisha uchumi wa taifa.

  9. PRIME Mufti atoa neno upatu unavyoliza watu

    Amesema Uislamu umezungumza masuala ya utunzaji wa fedha, kuishi kiuchumi na namna ya kutumia.

  10. PRIME Tanzania ilivyojipanga 2G, 3G zikielekea ukomo

    Kufutwa kwa teknolojia ya mitandao ya 2G na 3G ni miongoni mwa mwambo yanayozungumzwa sasa na wataalamu wa teknolojia za mawasiliano hususani katika mataifa yaliyoendelea.

Previous

Page 2 of 43

Next