Lema anyimwa dhamana, DC atoa maelezo ya vifo Manyoni
Sakata la mauaji ya watu 14 katika wilaya ya Manyoni mkoani Singida limechukua sura mpya baada Mkuu wa Wilaya ya Manyoni, Rahabu Mwagisa kutoa maelezo ya mazingira ya vifo hivyo yanayotofautiana...