Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1129 results for Hadija Jumanne :

  1. Kilichojili kesi ya kanisa kumnyang’anya zawadi mtoto wa Askofu Sepeku

    Mahakama Kuu, Divisheni ya Ardhi, imepanga Julai 18, 2025 kuendelea na usikilizwa katika kesi ya ardhi iliyofunguliwa na mtoto wa Askofu John Sepeku, Bernardo Sepeku dhidi ya Bodi ya Wadhamini wa...

  2. Kesi ya kanisa kumnyang'anya zawadi mtoto wa Askofu Sepeku kuunguruma leo

    Katika kesi hiyo ya ardhi namba 378/2023, Bernado ambaye ni msimamizi wa mirathi ya baba yao anapinga kunyang’anywa zawadi ya kiwanja alichopewa baba yao.

  3. Aliyekutwa na vipande saba vya kiboko, ahukumiwa kifungo cha nje

    Mshtakiwa huyo na wenzake wanadaiwa kukutwa na nyara hizo za Serikali bila kuwa na kibali kutoka kwa mkurugenzi wa wanyamapori nchini, jambo ambalo ni kosa kisheria.

  4. Jalada kesi ya anayedaiwa kujifanya Polisi, kwenda Uturuki kununua silaha lipo kwa DPP

    Hayo yameelezwa na Wakili wa Serikali, Frank Rimoy mbele ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo Jumatatu, Juni 23, 2025 wakati kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya mshtakiwa kusomewa hoja za awali...

  5. Kesi ya wanafunzi kumshambulia mwenzao yapigwa kalenda, wazua mshangao kortini

    Serikali imeieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa upelelezi katika kesi ya jinai inayowakabili wanafunzi watatu wa vyuo vikuu, likiwemo la kusababisha madhara ya kimwili, bado unaendelea.

  6. TLS, mawakili wa Serikali wasaini ushirikiano masuala ya kisheria

    Wakili Mkuu wa Serikali, Dk Ally Possi amesema Serikali itashirikiana na vyama viwili vya mawakili katika masuala ya kisheria, utatuzi wa migororo, kupeana uzoefu, ujuzi na mafunzo kwa lengo la...

  7. PRIME Samia amteua Masaju Jaji Mkuu, wadau wataja yanayomsubiri

    Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Jaji wa Mahakama ya Rufani, George Masaju kuwa Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania huku wadau wa masuala ya sheria wakizungumzia umahiri wake na mambo yanayomsubiri

  8. Hizi hapa faida za uji wa kimea 

    Baadhi ya mbegu hizo ni jamii ya mikunde, mahindi, mtama, ulezi, uwele, choroko, maharage na nyingine.

  9. Upelelezi kesi ya kuporomoka jengo Kariakoo, haujakamilika

    Upande wa mashtaka katika kesi ya kuua bila kukusudia inayowakabili watu sita wakiwemo wamiliki wa jengo lililoporomoka mtaa wa Mchikichi na Congo, eneo la Kariakoo, umedai kuwa bado unaendelea...

  10. 'Bwana harusi' aliyeiba gari, apigwa faini ya Sh500,000

    Masawe alikuwa anakabiliwa na mashtaka mawili ambayo ni wizi wa gari aina ya Toyota Ractis lenye thamani ya Sh15 milioni

Previous

Page 2 of 113

Next